Namlilia Julius Mtatiro...


Matope kweli wewe unafikiri kila mkristo lazima awe cdm na kila muislam awe CUF

Mtatiro is above religious interest as you do!...

Nyie ndio wale akili matope waliko cdm..unafikri ki-waraka waraka
 
Tuyasahau ya mtatiro na wengine ambao hawajatajwa TUIMARISHE CHAMA CHETU TUSONGE MBELE tusiwafikilie waliobaki nyuma, Watanzania watatuunga mkono na kwa Uweza wa Mungu tutazishinda fitina na siasa chafu zote.
 

umechemsha mkuu, Alhaji sio kiongozi wa dini katika uislam, ni mtu anayefanya ibada ya Hijja ndio anaitwa Alhaj na hata wakristo huwa wanaenda israel kwa ibada ya HIJJA.
 
asiye na muelekeo ni wewe na si chama, huna muelekeo kwa kuwa hujui matatizo ya watanzania yametokana na nini, aidha wewe ni mbumbumbu, mshabiki au ni mtu ambaye unaangalia maslahi yako katika chama unachokishabikia na si nchi.

Mkuu kwani mie nimesema aje CDM? Plz is better to provide constructive idea rather than producing uharo which I dont think the generation of our times need....And is not bad to remain quite because it is nice too..
 

Huna lolote wewe! kwani hatukujui kuwa we ni magamba namba wani? Umeanza kuwakana wenzio mapema hivyo!
 
Ni kweli, kijana amepoteza uelekeo kwa kujiunga na chama kisicho na future. Hata mimi namshauri; na bado hajachelewa, kujiunga na vyama vyenye mwlekeo wa kimaendeleo. Si Mtatiro tu, hata Nape ambaye anapoteza muda wake katika chama kilichopoteza mwelekeo, mvuto na mshiko kama CCM. Historia itamhukumu kwa kumsaliti baba yake aliyekufa akiuchukia ufisadi. Ama kweli gumugumu huzaa teketeke.
 
Mimi naamini ni suala la muda tu mtatiro julius niliyesoma naye udsm najua iko siku atajoin wapambanaji wa kwel - chadema. Ni suala la muda tu.

mtamuweza? shibuda anawatoa jasho, Zitto mmemshindwa!! Mtatiro mashine nyingine mkuu! anaangalia ukweli na hana muda wa kupoteza na ndiyo mzee za mbowe! acha kujishushia hadhi , kwa hiyo CUF ni wapambanaji wa uongo? mlichopambana Tanzania mpaka sasa ni nini? wenzenu angalau huko zenj wamefika walipoona panafaa. fanya kazi uiondoe ccm ukishindwa fanya kazi ya kugawana madaraka, definitely will not happen not after your 4th generation! msibeze wenzenu mkuu kwa cheo chao wewe ni aibu acha ushabiki wa kitoto
 
Nani kasema Mtatiro kujiunga na waislam kapotea? Mtatiro yupo kwenye chama cha Mujahidin cha wale answaar sunna. Waliopo Ccm ni wale wa Bakwata. Upinzani wa CUF na CCM ni ubakwata na uanswaar sunna tu mambo mengine yote wanafanana

ila upinzani wa ccm na cdm ni bakwata na maaskofu au?? then u r calling urself a greatthinker. Nyie ndo mnafanya watu wengine wenye mapenzi mema na movement za cdm waanze kukichukia chama na kudhani cha kidini. unashabikia udini wakati viongozi wa juu wanakemea unataka tukuite nani? nafikiri mnafiki linakutosha, huna mapenzi mema na cdm
 

ur always against cdm followers but today I realise ur true intetions. it is to confuse those cdm followers who are just like flag..never think but to comment nonesense even if they know ur just confuse them. Now all of them are religious bias,doing nothing but to insult other believers(muslims) and some even follows cdm bcoz many of their leaders are christian but not because of their movements. Because of that the cdm faithful ll get the bunch of criticiser each and every day only to confuse u until u guys start to think. They are making funny of u...
 

hebu toa ujinga wako hapo! Hata ulichokiandika hakina kichwa wala miguu!
 
really i also feel so sorry for this guy
 
acha udini kinachojadiliwa hapa ni siasa wewe kwa kutumia hiyo akili yako finyu umerukia context za uduni.utanaka kujenga image kwamba kila tunapojali siasa za vyama vingi kuna anticipation ya udini?
 
The past is over.. .forget it. The
future holds hope.. .reach for it.
 
ni mapitio tu cuf inapita bado cuf ina nguvu nitofauti na vyama vingine kabisa watu wanaona imekwisha kumbe nguvu inayo na bado ipo. Na si kama inaunga mkono ccm. Kuna watu wanaomba kila siku cuf iangamie. La wana kosea hawa hawajui kilichomo. So mtatiro watu wanatamani ahame chama ahamie Cdm au chama kingine ila siyo CUF,jamani leo mnaona uingereza kiongozi wa lebdem angehamia basi labour au consevertive hatusikii viongozi wao kuhama. Iwe marekani pia.
 

Kweli wewe ni mgongo wa paka kwa mwendo huu utakuwa paka mwenyewe soon wacha tuvute subira .
 

Hivi wewe ni rizwan mtoto wa mzee wa pale magogoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…