Kabinti ka ludilo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 409
- 461
Unamliganisha Bill Gates na darasa la saba. Wacha kujifariji huyo unayesema aliacha shule ambayo ni chuo tiyari alikuwa na start up ambayo aliianzia chuo na aliipata kwa kufundishwa. Alielewa hizi kompyuta, hakutoka anajua kusoma na kuandika tu akawa bilionea. Sema tu haku-graduate ili kupata cheti.Akumbuke Bill Gates aliacha shule na sasa ni nibilionea na mtoa msaada mkubwa.Magenius wapo wengi hata kama mtu kaishia la saba bado anamchango mkubwa kwenye jamii.
Ume elezea vizuri. +yeye aliacha havard. Akiwa.na idea ya biashara tayariUnamliganisha Bill Gates na darasa la saba. Wacha kujifariji huyo unayesema aliacha shule ambayo ni chuo tiyari alikuwa na start up ambayo aliianzia chuo na aliipata kwa kufundishwa. Alielewa hizi kompyuta, hakutoka anajua kusoma na kuandika tu akawa bilionea. Sema tu haku-graduate ili kupata cheti.
Kuna kusoma na kuelimika. Huyo mzee ameishia kusoma maandishi na kupata makaratasi halafu anataka kujifanya mjuaji. Watu wa Kyela wamemwelewesha ipasavyo na mavyeti yake.
Wacha kudanganywa na Inspirational speaker ndugu, Bill Gates alisoma the Best School toka akiwa mtoto, Babu yake Tajiri baba Tajiri mama TajiriAkumbuke Bill Gates aliacha shule na sasa ni nibilionea na mtoa msaada mkubwa.Magenius wapo wengi hata kama mtu kaishia la saba bado anamchango mkubwa kwenye jamii.