Namleta kwenu mwalimu wa Falsafa mwenye degree 4 asieonywa na darasa la saba

Huyu atalipa mengi
Ameumiza wengi tangu miaka ya 90
Kazi kujipendekeza ili kuumiza watu
Akalime mpunga asisumbue watu
India hakutaendeka
 
Huyo daktari wa falsafa sidhani kama kweli ni daktari wa falsafa kwa hayo yanayomtoka kinywani mwake. Kuna watu wana knowledge kutokana na experience. Si aseme basi ameonywa nini, na alikuwa anafanya nini?

Kwanza alete ile sehemu ya taarifa/ repoti ya Richmond aliyoificha Bungeni. Msomi gani hatoi taarifa kamili - cherry picking.
 
Unamliganisha Bill Gates na darasa la saba. Wacha kujifariji huyo unayesema aliacha shule ambayo ni chuo tiyari alikuwa na start up ambayo aliianzia chuo na aliipata kwa kufundishwa. Alielewa hizi kompyuta, hakutoka anajua kusoma na kuandika tu akawa bilionea. Sema tu haku-graduate ili kupata cheti.
Umejibu vizuri sana, watu tuna tabia ya kujifariji! Bill alikwenda shule, akapata concepts za computer programming and the like! akashindwa ku graduate, but he had knowledge already.
 
Huyu atalipa mengi
Ameumiza wengi tangu miaka ya 90
Kazi kujipendekeza ili kuumiza watu
Akalime mpunga asisumbue watu
India hakutaendeka
Toka 1990.. hii code nimeisha ifungua.. na hii kutoweza kwenda Indi nayo nimefungua.. duh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom