U r so evilHivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio mapenzi)?
Naombeni ushauri......
U r so evilHivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio mapenzi)?
Naombeni ushauri......
U got a cold heart u just wana use him for ur gainiam ila i have a good heart
sio msaada wa pesaTatizo wanawake wa siku hizi mko kama double agent.
Hapa humtaki lakini msaada wake unautaka.
Msaada zaidi mnaangalia ni pesa...sorry...fambaf sana
😂😂😂😂😂 sitakiUwe unamuomba hela kila wakati, we omba hela tu, Akikupa muombe tena zingine mwambie hazitoshi, omba sana hela.
Wanaume hizi lugha hakuelewi kwasababu kwanini siku ya kwanza hukumwambia una mahusiano?Mwambie kiakili tu , kiukweli nipo kwenye mahusuano tayari so kuwa msaliti siwezi ila wewe ni mtu mzuru sana and i hope ipo siku utapata wakukupenda
Basi hautaki kumuacha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitaki
sijui yy atapokeaje lakini kama atanielea itakua rahisiKumuacha tu tayari umesha muoffend, unataka utumie lugha gani tena kuweka sawa,
Then learn to love him, love wins over everythingsijui yy atapokeaje lakini kama atanielea itakua rahisi
NAfikiri umeona jamaa hana mawe.sio msaada wa pesa
sisi binadamu hatujui what the future holds
sijawahi kudate naeKabla ya kufanya hilo jambo, kaa sehemu tulivu kisha jiambie. " Mimi ni mbinafsi"
Kwanini unawazia nafsi yako pekee yako kupata furaha na hujali kuhusu mwenzio. Najua kuna mtu atasema je kama Moyo wangu haupo kwake tena... nakuuliza ilikuaje ukamkubalia awali? Moyo ulikua wapi kabla yake?!?.
Kama umehisi hivo ndani yako amini ndio itakua lifestyle yako "holding and freeing" wala ndoa haitaweza kukusaidia. Cheating on progress.
Lastly u you want him retained/ reserved as a friend.
Probably huna idea na uzoefu ya heartbreak. Ila mwana kama nae mambo mengi wala haita msumbua. Mtapasha viporo forthcoming days.
Devil' wins his mission easily Just by simple weapon, SEPARATION/FISSION.
because i have a good heartKwanini unajali kuhusu yeye na humpendi?
Ila hiyo avatar ni hatari na nusu,kwahiyo wewe una mfanano na avatar yako,mhmh naona vile jamaa atavyoweweseka kusikia unaaachana nae...ila mpende akupendae achana na mambo ya tamaasijui yy atapokeaje lakini kama atanielea itakua rahisi
yani kutaka kumkataa mtu in afriendly way ndo nakua evil what if ningemkubali nikampotezea mudaU r so evil
Good heart ya kuangalia kuna kesho? We kama unataka kuwa na ukaribu nae we mpe tubecause i have a good heart
Hii ni tabu sasa! sio tatizo kuwa kumkataa mwanamme kwa sababu humpendi na sio shida kubaki kuwa good friends, tatizo lako ni kuwa unataka kubaki nae as friends sio kwa sababu za kirafiki ila ni kwa sababu za kimanufaa tu! Huo sio uungwana! Kuwa mkweli mkatae kwa sababu humpendi, usijianye rafiki yake ilhali lengo sio urafiki bali kumchuna buzi tu!Hivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio mapenzi)?
Naombeni ushauri......
wala sio unavodhani"Cause siwezi jua the future, huwezi jua akaja kuwa msaada hapo baadae" hapa ndipo hoja ilipo..maokoto!!
You can't live your name, badilisha username hiyo.