Namibia is the best Country in Africa

Mimi huwa nawashanga mnaoisifia kila siku Kigali kwamba ni mji msafi Africa hahahaha windhoek acha kabisa wale jamaa ni wa safi hukuti takataka yeyote,Majengo yote ni masafi ,magari yote ni masafi hadi watu niwa safi tulienda kupeleka mzigo sehemu moja kuna gereza kunaitwa orwakaptiwalongo lile gereza ni safi wafungwa ni wa safi acha bwana Namibia sio mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba mtupe ABC za uko tujue kama kwa mgeni panafa kuishi ilikama kuzamia tu zamie huko
 

Attachments

  • Carlotta-Conca-1-Main.jpg
    Carlotta-Conca-1-Main.jpg
    93.5 KB · Views: 40
  • NAMCT004_windhoek-circuits-namibie-tui.jpg
    NAMCT004_windhoek-circuits-namibie-tui.jpg
    172.6 KB · Views: 46
  • namibia windhoek.jpg
    namibia windhoek.jpg
    52.4 KB · Views: 47
Kabla ya awamu hii Namibia na Tz zilikuwa sawa?

Jiwe mnamuonea tu
Kuna Wabongo wamehamia huko wala hawana mpango wa kurudi bongo labda kuja kutembea na huu udikteta unavyoshamiri kuna waliokuwa wanatia mguu kila mwaka sasa wanataka kuskip at least mwaka. Dikteta anaivuruga nchi kwa speed kubwa sana.
 
Mali ina asali ya ujangwa na wanauza Dhahabu
nchi zenye asili ya ujangwa huwa hazina watu wengi.. na ukiwa na watu wachache, ni rahisi ku manage nchi.. so imagine una 2.5 million people na unauza Diamonds.
 
Wabongo achana nao kwa uongo na unafiki kusifia vitu wasivyo vijua..
Kuna baadhi comment unasoma na unasikitika, unauona jinsi unafki ulivyo tawala vichwani mwao..
Unaweza sema iyo nchi imejaa asali na maziwa, ingia hata google muione nchi mnayo izungumzia.
 
Mkuu utajiri wa kwanza duniani ni watu ... mkiona mko watu wengi halafu mmeshindwa kuliletea maendeleo taifa basi mnapaswa kujikosoa

Nyerere alisema .ili nchi iendelee inahitaji watu .ardhi .siasa safi ............. nyingine malizia mwenyew

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndio ukweli watu ni mtaji na vivile ukiwa na nchi kubwa ni mtaji pia
 
Waingereza wasingewaondoa Wajerumani na Tanganyika ingekuwa kama Namibia. Wajerumani walitukata kodi ya kichwa lakini tuliona maendeleo.

Sasa tunakatwa kitambulisho cha mmachinga wakati maji hakuna, shule watoto 100+ darasa moja na shule nzima ina walimu wanne.
kitambulisho cha mmachinga sawa... ukitaka kwenda kujisaidia 200/= usafi wa soko 200 kwa siku. mlinzi 200 kwa siku . yupo mpuuzi mmoja anasema amewapunguzia kero wanyonge
 
Back
Top Bottom