Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 6,116
- 6,874
[emoji85][emoji85][emoji85]Waingereza wasingewaondoa Wajerumani na Tanganyika ingekuwa kama Namibia. Wajerumani walitukata kodi ya kichwa lakini tuliona maendeleo.
Sasa tunakatwa kitambulisho cha mmachinga wakati maji hakuna, shule watoto 100+ darasa moja na shule nzima ina walimu wanne.
Sent using Jamii Forums mobile app