Namibia is the best Country in Africa

Namibia is the best Country in Africa

nchi zenye asili ya ujangwa huwa hazina watu wengi.. na ukiwa na watu wachache, ni rahisi ku manage nchi.. so imagine una 2.5 million people na unauza Diamonds.
 
Trampuu
Screenshot_20190307-060006.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unajua Namibia ina watu wangapi?
Unataka kusemaje wewe Mzee uliefilisika kifikra sababu ya tumbo?ukitaka kuleta kisingizio cha Population embu tuambie sisi tuna watu wangapi kulinganisha na Nchi kama Malaysia, Indonesia ambazo miaka ya 60s tulikuwa katika level Moja ya umasikini lakini leo wapo mbali pamoja na population yao kuzidi yetu. Tatizo ni CCM na Serikali yake plus watu kama wewe mnaojifanya Wasomi badala ya kutetea maslai ya Taifa mnatetea maslai ya kikundi kichache kinachoitafuna Nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nchi zenye asili ya ujangwa huwa hazina watu wengi.. na ukiwa na watu wachache, ni rahisi ku manage nchi.. so imagine una 2.5 million people na unauza Diamonds.
Vipi Jamhuri ya Africa ya Kati mbona wao low population na wana madini mengi plus mafuta lakini ni masikini wakutupwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom