Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,841
- 90,280
Of course hapo ndio shida ilipoanzia. Mleta mada hajatwambia mazingira yalikuwaje, ila kwa namna alivyoelezea ni kama vile palikuwa na kikao ambacho na yeye alishiriki (au labda alisikia mazungumzo yao).
Rejection inauma, na inaumiza sana akili. So kinachomuumiza jamaa yetu ni hiyo rejection na kukosekana kwa bond kati yao.
Pia hajajua kama bibi na mamaake waliongea na wakakubaliana juu ya maisha yake, hivii anamchukiaje mama kwa kumpeleka kuishi kwa bibi!!kumbe alikupeleka kwa bibi na bibi alikupokea vizuri.... naona bado hujakuwa huwezi kuelewa kitu...
😂😂😂Ina maana hapo angekubali ubaki na Mzee wa kambo wewe ndio ungekuw Mke wake sasa.. daah
Yeah ni kweli.., Sometimes watoto hatutakiwi kujua hata kama wazazi wanagombanaga..Watu watamuona mtoa mada anakosea lakini ukija kwenye suala la ukweli na haki unamkûta yuko sahihi.
Kwanza hakupaswa kujua kuwa babaake wa kambo na mama wamepeana uchaguzi mgumu kama huo. Yeye alikuwa mtoto. Walimfangia ukatili mkubwa.
Fikiria mtoto anasikia Mamaake akimkana kisa mtu mwingine.
Mama kamsaliti mtoto kisa mume(baba wa kambo)
Ndio ile mtoto wa kiume anamfukuza Mamaake kisa Mkewe. Sio pouwa hiyo. Hakuna tofauti hapo.
Lazima chuki kali iwepo.
Hayo maelezo sijui hakumtunza ni Geresha. Ila ishu ni upendo.
bibi upande wa baba unahis waliongea nn..In short bibi alichukua jukumu baada ya kuona hatuna mbele wa nyumaPia hajajua kama bibi na mamaake waliongea na wakakubaliana juu ya maisha yake, hivii anamchukiaje mama kwa kumpeleka kuishi kwa bibi!!
Una childhood trauma sabbai ya tukio lililo tokea, mama aka aka ignore hilo tatizo limekuwa, umueleze why na nini kisababishi then safari ya ku heal ianzia hapoWanaJF
Mimi namchukia sana mama hata nsipowasiliana nae mwaka najiona sawa.
To sum up..
Mimi nmelelewa na bibi baada ya wazazi kuachana na mama akaolewa. Hivyo mimi nikiwa mtoto wa pili na mwisho ilibidi nikaishi na mama kulingana na umri wangu.
Baba wa kambo alitamka kauli moja anahitaji kubaki na mtu mmoja kama mama anaondoka mim nibaki na kama mimi naondoka mama abaki.
Maamuzi ya mwsho yaliamuliwa niondoke nikaenda kuishi na bibi huku mzee akiwa karibu na sisi tangu darasa la kwanza hadi tunamliza chuo.
Huwa naona mtandaoni watu wakiwasifia mama zao jins wanavowapenda ila kwangu imekuwa tofauti.
Nampenda sana bibi yaani sana hata nikiwa na kidogo bora apate bibi ila sio mama..Mama namuona kama. Sina maelezo mazuri ya kuelezea ila namchukia.
Nataman nimpende kama mzazi nifanyaje
Dr siku hizi umekua na busara sana kuna vimaneno unaviandika navipenda.... Naomba kuja pm 😊Kumchukia MTU ni tatizo kubwa Sana na linaweza kukutesa hasa pale utakapojua maisha ni UPENDO na vitu havina nguvu kumzidi MTU
Hasara za chuki
Utachelewa kuwa yule unayetaka kuwa
Utakuwa unafanya mambo kwa msukumo na sio kwa hiari yako.
Ikiwa Alifanya makosa usimchukie msamehe na umpende na kumjali ili utume ujumbe katika universe kuwa Love always win .
Mandela alisema hivi
"Kumchukia MTU ni kuamua kunywa sumu huku ukiamini itamuua unayemchukia"
Msamehe, msamehe Mungu akutendee. Usilipe ubaya, msameheWanaJF
Mimi namchukia sana mama hata nsipowasiliana nae mwaka najiona sawa.
To sum up..
Mimi nmelelewa na bibi baada ya wazazi kuachana na mama akaolewa. Hivyo mimi nikiwa mtoto wa pili na mwisho ilibidi nikaishi na mama kulingana na umri wangu.
Baba wa kambo alitamka kauli moja anahitaji kubaki na mtu mmoja kama mama anaondoka mim nibaki na kama mimi naondoka mama abaki.
Maamuzi ya mwsho yaliamuliwa niondoke nikaenda kuishi na bibi huku mzee akiwa karibu na sisi tangu darasa la kwanza hadi tunamliza chuo.
Huwa naona mtandaoni watu wakiwasifia mama zao jins wanavowapenda ila kwangu imekuwa tofauti.
Nampenda sana bibi yaani sana hata nikiwa na kidogo bora apate bibi ila sio mama..Mama namuona kama. Sina maelezo mazuri ya kuelezea ila namchukia.
Nataman nimpende kama mzazi nifanyaje
Nimeipenda hii kutoka kwa LegendHakuna bond kati yenu, ndio maana unafeel hivyo.
Kwa choices alizopewa, ilikuwa ni wazi wewe ndio wakuondoka. Unaweza kumlaumu ila jaribu kumuelewa. Usikae na kinyongo, jaribu kuflash ili maisha yaendelee.
Mzazi ata akosee vip atabaki kuwa mzazi.WanaJF
Mimi namchukia sana mama hata nsipowasiliana nae mwaka najiona sawa.
To sum up..
Mimi nmelelewa na bibi baada ya wazazi kuachana na mama akaolewa. Hivyo mimi nikiwa mtoto wa pili na mwisho ilibidi nikaishi na mama kulingana na umri wangu.
Baba wa kambo alitamka kauli moja anahitaji kubaki na mtu mmoja kama mama anaondoka mim nibaki na kama mimi naondoka mama abaki.
Maamuzi ya mwsho yaliamuliwa niondoke nikaenda kuishi na bibi huku mzee akiwa karibu na sisi tangu darasa la kwanza hadi tunamliza chuo.
Huwa naona mtandaoni watu wakiwasifia mama zao jins wanavowapenda ila kwangu imekuwa tofauti.
Nampenda sana bibi yaani sana hata nikiwa na kidogo bora apate bibi ila sio mama..Mama namuona kama. Sina maelezo mazuri ya kuelezea ila namchukia.
Nataman nimpende kama mzazi nifanyaje
AmenHakuna bond kati yenu, ndio maana unafeel hivyo.
Kwa choices alizopewa, ilikuwa ni wazi wewe ndio wakuondoka. Unaweza kumlaumu ila jaribu kumuelewa. Usikae na kinyongo, jaribu kuflash ili maisha yaendelee.
Nimeipenda sana hiiHiyo hali iliwahi kunipata nikiwa na umri kati ya miaka 14-18 hadi baba yangu alihisi kuwa nipo kwenye hali hiyo.
Licha ya kuwa yeye na mama hawakua na mawasiliano mazuri sana lakini alinieleza maneno haya "Lucha mwanangu yule ni mama yako , mama hakosei dunia hiii huwezi kumpata mama mwingine mpende sana mama yako pepo yako ipo chini ya nyayo za mama yako(kwa mujibu wa imani ya dini yetu tunaamini hivyo)"
Hiyo kauli ilinitoa machozi nilimtafuta mama yangu kwa simu nikawasiliana nae, lakini nasikitika hadi leo ule upendo wangu niliokua nao kwake kipindi nikiwa mdogo bado haujarudi kwa kiasi kile, siku moja nilimwambia mama kama una shida nieleze mimi ni mtoto wako mimi sina mama mwingine mama yangu alitoa machozi mbele yangu kwa mara ya kwanza mbele yangu.
Alhamdulillah kwa sasa ile chuki imeondoka kabisa duniani tunapitia mitihani mingi sana lakini amepata hasara yule ambae mama yake /baba yake ataondoka katika dunia hii hali yakua hana mahusiano nae mazuri Majuto huja wakati ambao huwezi kufanya nae suluhu au kuombana msamaha.
Nakusihi ndugu yangu msamehe mama yako na umpende sana maisha ni mara moja tu.