Namchukia sana Mama yangu

Namchukia sana Mama yangu

Ili eneo ndio jamaa hajatufafanulia vizuri. Je hayo maneno aliyasikia akiwa wapi? Inawezekana wazazi walikuwa wanaongelea chumbani, ila mtoto akawa anawasikiliza.
Wakati anarudi usiku alikuwa anafoka sana akisimangia namaliza ugal na hana uwezo wa kulea watu wengi..kwa umri wa miaka 5 niliokuwa nao nilkuwa nasikia na sjasahau had leo..ikawa destur kila anavoingia m inabd nisepe nkalale..khusu hyo kauli alikuwa anasema kabisa anahitaj mmoja..
 
Mambo ya ndoa hayo ni hatari sana.

Father mdogo alipoachana na mkewe maana yeye na mkewe wote walikuwa na tabia za hovyo ,kwa sababu father mdogo alikuwa na watoto wa nje wanajulikana ni umalaya tu.

Baada ya kuachana na mkewe wa kwanza aliyezaa nae watoto wawili wazuri sana yule mama wa watu wa kipare .
Father mdogo akamchukua mtoto wa pili wa kike yule wa kiume akabaki kwa bibi Kijijini.

Kimbembe huyu wa kike ,alikuwa anakaa na father mdogo katika malezi ya mama wa kambo tangu akiwa na miaka 6 mpaka anafika miaka 21 ,almost miaka 15 hajawahi kwenda kwa mama yake pia ni mateso mwanzo mwisho ...Baba mtu hajali ni kuleta wanawaek tu miaka 15 mtoto anateseka tu kwa kukaa na mama wa kambo

Baba mdogo alipokufa angalau mtoto alichoropola na sasa tumemuozesha fasta anaishi kwa mumewe mwaka wa 3 sasa ....Dogo kapitia maisha magumu sna alipigwa pin eti asiende kwa mama yake dunia hii wazazi wana roho mbaya.

Yaani mtu anaridhika kabisa mtoto anapata tabu halafu anajua kabisa ananyanyasika ila kazi kuoa wanawake wapya huku mtoto wanapata tabu ,yule mkubwa alishamkana baba yake kitambo hata kuzika hajaja maana alikimbia na kule kwa mama yake napo hajaenda alibaki kama mtoto wa mtaani shule aliacha miaka 16 akaanza ufundi wa pikipiki mpaka leo yupo mbali sana .
 
halafu ndiyo akina nyinyi munaosema hamutaki kushughulikia wazazi wenu kwa kuwa siyo jukumu lenu.
Nilisema wapi?
Mim watoto wangu kwanza kama hupendi watoto wangu hata sura yangu au harufu yangu hutoisikia
 
Hakuna mwanaume anaekubali kulea mtoto wa mwanaume mwenzie,, mshukuru bibi amekulea makosa uliopitia kwa wazazi wako hakikisha wewe unarekebisha. Hakikisha unachagua mtu sasa utakayeweza alie tayari kuhudumia na kulea wanao.
Kuna vijana wengi sana wamelelewa na wazazi sio wao unadhan hawa watoto wote wanalelewa na biological father’s labda kama waishi sayari nyingine
 
WanaJF

Mimi namchukia sana mama hata nsipowasiliana nae mwaka najiona sawa.

To sum up..
Mimi nmelelewa na bibi baada ya wazazi kuachana na mama akaolewa. Hivyo mimi nikiwa mtoto wa pili na mwisho ilibidi nikaishi na mama kulingana na umri wangu.

Baba wa kambo alitamka kauli moja anahitaji kubaki na mtu mmoja kama mama anaondoka mim nibaki na kama mimi naondoka mama abaki.

Maamuzi ya mwsho yaliamuliwa niondoke nikaenda kuishi na bibi huku mzee akiwa karibu na sisi tangu darasa la kwanza hadi tunamliza chuo.

Huwa naona mtandaoni watu wakiwasifia mama zao jins wanavowapenda ila kwangu imekuwa tofauti.

Nampenda sana bibi yaani sana hata nikiwa na kidogo bora apate bibi ila sio mama..Mama namuona kama. Sina maelezo mazuri ya kuelezea ila namchukia.

Nataman nimpende kama mzazi nifanyaje
Siku utakayompenda mama yako ndopo baraka zako zitakapoanzia, hutapata pesa kidogo kidogo
 
WanaJF

Mimi namchukia sana mama hata nsipowasiliana nae mwaka najiona sawa.

To sum up..
Mimi nmelelewa na bibi baada ya wazazi kuachana na mama akaolewa. Hivyo mimi nikiwa mtoto wa pili na mwisho ilibidi nikaishi na mama kulingana na umri wangu.

Baba wa kambo alitamka kauli moja anahitaji kubaki na mtu mmoja kama mama anaondoka mim nibaki na kama mimi naondoka mama abaki.

Maamuzi ya mwsho yaliamuliwa niondoke nikaenda kuishi na bibi huku mzee akiwa karibu na sisi tangu darasa la kwanza hadi tunamliza chuo.

Huwa naona mtandaoni watu wakiwasifia mama zao jins wanavowapenda ila kwangu imekuwa tofauti.

Nampenda sana bibi yaani sana hata nikiwa na kidogo bora apate bibi ila sio mama..Mama namuona kama. Sina maelezo mazuri ya kuelezea ila namchukia.

Nataman nimpende kama mzazi nifanyaje
Ngoja kwanza,
Baba wa Kambo alivyosema kua mchague wewe au mama yako Kwanin hukuenda Kwa Baba Mzazi?

Na kama issue ilikua umri bas ni lini ulifikisha umri mkubwa wa kwenda Kwa Baba Mzazi? Je ulienda? Kwanini?
 
Ina maana hapo angekubali ubaki na Mzee wa kambo wewe ndio ungekuw Mke wake sasa.. daah
Wanalala vizuri
Baba yako mzazi alikuwa wapi wakati huo?

Madhara Makubwa ya kuzaa na kutelekeza watoto huacha maumivu makali sana kwa jamii
Mlaumu baba yako kwa kuachana na mama yako mkateseka nyie.
Kuna wamama huchagua wanaume kuliko watoto wao unalalaje na mtu hamtaki mwanao khaa
Haya Ni Makubwa Sana
 
WanaJF

Mimi namchukia sana mama hata nsipowasiliana nae mwaka najiona sawa.

To sum up..
Mimi nmelelewa na bibi baada ya wazazi kuachana na mama akaolewa. Hivyo mimi nikiwa mtoto wa pili na mwisho ilibidi nikaishi na mama kulingana na umri wangu.

Baba wa kambo alitamka kauli moja anahitaji kubaki na mtu mmoja kama mama anaondoka mim nibaki na kama mimi naondoka mama abaki.

Maamuzi ya mwsho yaliamuliwa niondoke nikaenda kuishi na bibi huku mzee akiwa karibu na sisi tangu darasa la kwanza hadi tunamliza chuo.

Huwa naona mtandaoni watu wakiwasifia mama zao jins wanavowapenda ila kwangu imekuwa tofauti.

Nampenda sana bibi yaani sana hata nikiwa na kidogo bora apate bibi ila sio mama..Mama namuona kama. Sina maelezo mazuri ya kuelezea ila namchukia.

Nataman nimpende kama mzazi nifanyaje

Naomba utambue tu kuwa mama alikuwa anapita changamoto kubwa sana. Wewe unafikiria tu yeye kukaa na wewe pengine alikuwa hana hata cha kukulisha.
Na kwa kuwa alikupeleka kwa bibi (Mama yake ambapo ni mahala Salama sana) na hapo ukapata malezi; Jua tu kuwa mama anakupenda sana na alikutafutia sehemu mbadala ya kukaa kutokana na changamoto za maisha

Kumbuka tu kuwa; Wapo wengi hata hapa jukwaani ambao wamelelewa na Bibi zao na wazazi wao wakiwepo. Maisha yanachangamoto nyingi na ngumu sana, nafikiri ukifikisha umri wa miaka 40 hivi; utanielewa. Msamehe mama yako namtambue kama mama;
Mama ni mtu pekee ambaye hata ukimnunulia sabuni ya shs 500 anakushukuru na kukuombea neema (unataka nini cha ziada?) Hakuna kitu cha dhamani Duniani, kama Mama!
 
Kuna wamama huchagua wanaume kuliko watoto wao unalalaje na mtu hamtaki mwanao khaa
Kama Baba aliyemzaa haoni hasara kumtema na kumtupa je huyu ambaye hajamzaa ndiye utarajie atajali?
Mama hapo hana kosa lolote
 
Naomba utambue tu kuwa mama alikuwa anapita changamoto kubwa sana. Wewe unafikiria tu yeye kukaa na wewe wakati hata cha kukulisha pengine alikuwa hana.
Na kwa kuwa alikupeleka kwa bibi (Mama yake) na hapo ukapata malezi ya kawaida. Jua tu kuwa mama anakupenda sana na alikutafutia sehemu mbadala ya kukaa
Kuna hawa watoto wana achwa wawe watoto wa mtaani hao ndio habari tofauti

Kumbuka tu kuwa; Wapo wengi sana hata hapa jukwaani ambao wamelelewa na Bibi zao na wazazi wao wakiwepo....
Jua tu kuwa, Maisha yanachangamoto nyingi na ngumu sana, nafikiri ukifikisha umri wa miaka 40 hivi; utanielewa. Msamehe mama yako namtambue kama mama
Mama ni mtu pekee ambaye hata ukimnunulia sabuni ya shs 500 anakushukuru na kukuombea neema (unataka nini cha ziada?)
Mimi sioni kosa la Mama hapo.
 
WanaJF

Mimi namchukia sana mama hata nsipowasiliana nae mwaka najiona sawa.

To sum up..
Mimi nmelelewa na bibi baada ya wazazi kuachana na mama akaolewa. Hivyo mimi nikiwa mtoto wa pili na mwisho ilibidi nikaishi na mama kulingana na umri wangu.

Baba wa kambo alitamka kauli moja anahitaji kubaki na mtu mmoja kama mama anaondoka mim nibaki na kama mimi naondoka mama abaki.

Maamuzi ya mwsho yaliamuliwa niondoke nikaenda kuishi na bibi huku mzee akiwa karibu na sisi tangu darasa la kwanza hadi tunamliza chuo.

Huwa naona mtandaoni watu wakiwasifia mama zao jins wanavowapenda ila kwangu imekuwa tofauti.

Nampenda sana bibi yaani sana hata nikiwa na kidogo bora apate bibi ila sio mama..Mama namuona kama. Sina maelezo mazuri ya kuelezea ila namchukia.

Nataman nimpende kama mzazi nifanyaje
Yawezekana maamuzi yake yalikua ya kukuokoa
 
Mh niCancel kuolewa, bint zangu wasije nichukia buure lakin kijana wa Yesu naomba unishauri mimi.....@ Mtu porii unazan mmama wa miaka 32 Ni sahihi kua single forever?
Wanawake kizazi hiki kazi mnayo, mkikosea tu hesabu za ujanani basi huku uzeeni kuanzia 30+ mitihani mnayokuja kutana nayo si mchezo.
 
Mama atabaki kuwa Mama tu hata awe mbaya kiasi gani
Nakuomba sana mpende Mama yako kwa moyo wa dhati na upendo wa kweli
Usiangalie alichofanya kabisa yaani hata ukimuona wewe ndio muombe akuombee maisha mema
Dua ya Mama kwa mtoto inakubalika sana

Najua wengine wataniona nina maoni tofauti lakini Mama ni Mama tu
Mkuu mtumie chochote kama unacho na kila wakati mpigie simu kumjulia hali na hata unaweza kwenda au muite aje kukutembelea kama umeoa na nyumba yako
Maisha mafupi sana haya na kama akifa hujapata radhi yake utajutia sana 🙏
 
Tafuta muda mchukue mama mwende ufukweni mkaombane msamaha

You can't change a mother
 
Huo ni Uselfish,ulitaka mama yako asiolewe wakati Kuna mtu wa kukulea Kwa upendo alikuwepo?Acha kuzingua
 
Hakuna mwanaume anaekubali kulea mtoto wa mwanaume mwenzie,, mshukuru bibi amekulea makosa uliopitia kwa wazazi wako hakikisha wewe unarekebisha. Hakikisha unachagua mtu sasa utakayeweza alie tayari kuhudumia na kulea wanao.
Usiseme hivyo madam wapo sana, mfano ni mimi mwenyewe, ukiwa una mapenzi na huruma unaweza kabisa, ,,naamini bado tupo wengi tu wenye kujali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom