Mtu porii
Member
- Jan 29, 2024
- 44
- 167
- Thread starter
- #81
Wakati anarudi usiku alikuwa anafoka sana akisimangia namaliza ugal na hana uwezo wa kulea watu wengi..kwa umri wa miaka 5 niliokuwa nao nilkuwa nasikia na sjasahau had leo..ikawa destur kila anavoingia m inabd nisepe nkalale..khusu hyo kauli alikuwa anasema kabisa anahitaj mmoja..Ili eneo ndio jamaa hajatufafanulia vizuri. Je hayo maneno aliyasikia akiwa wapi? Inawezekana wazazi walikuwa wanaongelea chumbani, ila mtoto akawa anawasikiliza.

niCancel kuolewa, bint zangu wasije nichukia buure