Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,164
- 79,614
Of course hapo ndio shida ilipoanzia. Mleta mada hajatwambia mazingira yalikuwaje, ila kwa namna alivyoelezea ni kama vile palikuwa na kikao ambacho na yeye alishiriki (au labda alisikia mazungumzo yao).
Rejection inauma, na inaumiza sana akili. So kinachomuumiza jamaa yetu ni hiyo rejection na kukosekana kwa bond kati yao.
Sema Baba wa kambo naye ni cherema(akili mgando) au ni ile sampuli ya wanaume makatili na wabinafsi.
Wale wanaume waropokaji na watumiaji.
Mwanaume aliyetimamu hawezi kuongea maneno ya hovyo mbele ya watoto hata wasio wake.
Ongea na mkeo chumbani, eleza hofu yako, eleza suluhisho kisha toa maamuzi.
Kisha mama atekeleze sehemu yake kwa kuongea na kijana bila kuleta matàtizo.