Agrey998
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 398
- 518
Kuna watoto ambao Baba zao wapo na hawafanyi kitu alichofanya Baba yako , kuna watoto wametelekezwa na Baba zao, wewe umejua kusoma na kuandika na kuongea kingereza Kwa Ada iliotokana na nguvu ya Baba yako umekula chakula umeshiba Kwa Nguvu ya Baba yako af confidently bila aibu unakuja na akili zako za ajabu kumchafua Baba yako ina maana hio ndo shukran unayomlipa Kwa kukutunza