Nambie kwanini mimi nisinywe pombe?

Nambie kwanini mimi nisinywe pombe?

Watuache na bia zetu.
20250719_082812.jpg
 
Kwema wakuu

Nikiona mtu anamuambia mtu asinywe pombe namuona kama ana matatizo ya akili.

Hapo unakuta
1.Anakunywa Ernegy
2.Soda Pepsii Bariidi
3.Anapenda wanawake balaa
4.Anakula Gomba na Skanska

Mpumbavu wewe

Mpumbavu mwenyewe mkuu

Siku nyingine usituharibie jina la kitu yetu...ni SKANKA!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom