Namba ya whatsapp isiyo ya Tanzania

Namba ya whatsapp isiyo ya Tanzania

Hapana mkuu.... Iyo ya Whatsapp mbili katika sim moja ni case nyingne.... Ukitaka kurun Whatsapp mbili kwenye sim moja download application ya whatsapp nyingne inaitwa GBWhatsApp....
GB ishachuja na inazingua mkuu, siku hizi kuna kitu Parallel -Space mwisho wa mambo
 
Kama cna application hyo ya parallel inakuwaje hapo
Kama huna application ya parallel... Inabidi u delete account yako ya whatsaap unayotumia kwa sasa then u sign in kwa kutumia namba yako iyo ya ufilipino mkuu....

But kwa ushauri tu... Ni vyema uka download iyo parallel space application ili ufurahie whatsaap kwa namba zako zote mkuu
 
Mkuu nishapewa namba ya Filipino kupitia talk2 ...wat next maana cina iyo parallel
Iyo namba ya ufilipino I note down.... Then download application ya parallel space Google play....

Ukisha I download.. Add application ya whatsaap kwenye parallel space then ifungue iyo application ya whatssap sign up kama kawaida kwa kutumia namba hiyo ya ufilipino....

Kwenye kupata zile code sita ili kuweza Ku activate account yako bonyeza kitufe cha call utapigiwa simu na utatajiwa hizo code zinakiri sehemu then uziweke kwenye iyo sehemu ya code kuanzia hapo utakuwa unatumia whatsaap kwa namba ya ufilipino......
 
Iyo namba ya ufilipino I note down.... Then download application ya parallel space Google play....

Ukisha I download.. Add application ya whatsaap kwenye parallel space then ifungue iyo application ya whatssap sign up kama kawaida kwa kutumia namba hiyo ya ufilipino....

Kwenye kupata zile code sita ili kuweza Ku activate account yako bonyeza kitufe cha call utapigiwa simu na utatajiwa hizo code zinakiri sehemu then uziweke kwenye iyo sehemu ya code kuanzia hapo utakuwa unatumia whatsaap kwa namba ya ufilipino......
28492f6afa20cbc04cb55f68c38f72ad.jpg

Nime call mpaka Basi but inakataa nadhan itakuwa network cjui ....
 
Nimeshafanikiwa kwa Primo, kumbe nilitakiwa kwenda kwa mail box ku activate/confirm email niliyoweka. Baada ya kufanya hivo kila kitu kikakaa sawa, asanteni[emoji111][emoji111]
Inbox unapata wapi ilo activate /confirm?
 
Ingawa kwenye app ya virtualSIM nimefanikiwa tena hii njia ni rahisi sana ukiwa na account ya fb me nimechange namba za whatsapp zote mbili namba zangu now ni Trump tu
 
Ingawa kwenye app ya virtualSIM nimefanikiwa tena hii njia ni rahisi sana ukiwa na account ya fb me nimechange namba za whatsapp zote mbili namba zangu now ni Trump tu
Mkuu nifanyie maujanja me nmeshindwa aiseeee.
 
Mm.ninafikia mpk kuipata namba ninapojaribu kufanya verification ninaambiwa namba haitambuliki us
 
Ingawa kwenye app ya virtualSIM nimefanikiwa tena hii njia ni rahisi sana ukiwa na account ya fb me nimechange namba za whatsapp zote mbili namba zangu now ni Trump tu
Mbona kwangu hii virtual sim ninaambia account is exceeded
 
Tumieeni ata ya ufilipino tu kwani lazima kwa trump ....ila ya trump ndo Ina mata zaidi unajiona upo Nevada mezani mnapuliza sheesha na akina wiz khalifa
 
Back
Top Bottom