Nurudin Jr
Senior Member
- May 25, 2017
- 180
- 99
Namba za hiyo virtualsim unazikuta setting then utakuta sehemu imeandikwa my phone number ukikclik hapo utaona juu kabisa Kuna hiyo namba ya trump na chini utakuta ya huku BBM a.k.a Bongo bahati mbaya alongside Tanzania so utachukua hiyo ya trump utaenda kuingiza katika account yako ya whatsapp then ukishaingiza utasubiri pale second zihesabu ili kuruhusu call ifanye kazi baada ya call kukuruhusu kupiga utapofya call ili kupigiwa upate code zako na hiyo sm itaita kupitia virtualsim tena huyo dem muungwana sana aisee anataja hizo code zaidi ya Mara 3Mm.ninafikia mpk kuipata namba ninapojaribu kufanya verification ninaambiwa namba haitambuliki us