MmetishaDownload app moja ivi inaitwa "primo" kutoka play store kisha fanya ku register account then after confirmation kuna namba utapewa pale ya USA ichukue na uicopy pembeni... Aya fungua whatsapp yako na kwenye kuingiza namba eka country code ya USA ambayo inaanzaga na +1 ____ ikifuatia na namba husika za nchi hiyo ivo baada ya kuselect io code eka sa iyo namba ya USA ulotoa kwenye primo....... Ila kumbuka kwenye kuconfirm whatsapp codes chagua "Call" whatsapp itapga kule kwenye primo.... na ustumie kutumiwa codes kwa"SMS" course hutoipata io text ilio na codes ndio maana nmekuambia chagua by "CALL" kisha endelea na usajili as normal mkuu......
Swali la kizushi... Mkuu kwann ustumie tu No. Yako tu ya kawaida mpaka unataka ya USA...!?
Baba iyo naiota kila siku nw nakaribia kuamka hata pasport sina yeleuwiiiii
mkuu vizuri kula na wenzio dunuani hapa tunapita mkuu tupe.ujuzi zaidi wa kupata namba kama hiyO.
Pesa yako tuu
5000 tuu babu siunajua maisha yenyew yashakua magumu, sio ya marekani tuu hata ya india fresh tuumkuu vizuri kula na wenzio dunuani hapa tunapita mkuu tupe.ujuzi zaidi wa kupata namba kama hiyO.
UNAUZA BEI GANI
swadkta upo vizuri mkuu punguza dau hapa naelewa wadau wapo wengi tu5000 tuu babu siunajua maisha yenyew yashakua magumu, sio ya marekani tuu hata ya india fresh tuu
Kama kawaida 1to replyUnataka kwenda states nini mkuu....Fuata ushauri simple wa jamaa hapo
ili wajue anaishi ulayaDownload app moja ivi inaitwa "primo" kutoka play store kisha fanya ku register account then after confirmation kuna namba utapewa pale ya USA ichukue na uicopy pembeni... Aya fungua whatsapp yako na kwenye kuingiza namba eka country code ya USA ambayo inaanzaga na +1 ____ ikifuatia na namba husika za nchi hiyo ivo baada ya kuselect io code eka sa iyo namba ya USA ulotoa kwenye primo....... Ila kumbuka kwenye kuconfirm whatsapp codes chagua "Call" whatsapp itapga kule kwenye primo.... na ustumie kutumiwa codes kwa"SMS" course hutoipata io text ilio na codes ndio maana nmekuambia chagua by "CALL" kisha endelea na usajili as normal mkuu......
Swali la kizushi... Mkuu kwann ustumie tu No. Yako tu ya kawaida mpaka unataka ya USA...!?
hahhahhahShukrani mkuu nakuombea ujana mrefu mana uzee mateso..
Dalili za kwendq usa sizioni kabisa asa nishindwe hata kutumia namba ya usa kweli hebu nisafishe nyota kwa kuanza kutumia namba zao kwanza
HahahaKama kawaida 1to reply
Mkuuu hii inakuwezesha kutumia WhatsApp mbili ndani ya simu moja?Download app moja ivi inaitwa "primo" kutoka play store kisha fanya ku register account then after confirmation kuna namba utapewa pale ya USA ichukue na uicopy pembeni... Aya fungua whatsapp yako na kwenye kuingiza namba eka country code ya USA ambayo inaanzaga na +1 ____ ikifuatia na namba husika za nchi hiyo ivo baada ya kuselect io code eka sa iyo namba ya USA ulotoa kwenye primo....... Ila kumbuka kwenye kuconfirm whatsapp codes chagua "Call" whatsapp itapga kule kwenye primo.... na ustumie kutumiwa codes kwa"SMS" course hutoipata io text ilio na codes ndio maana nmekuambia chagua by "CALL" kisha endelea na usajili as normal mkuu......
Swali la kizushi... Mkuu kwann ustumie tu No. Yako tu ya kawaida mpaka unataka ya USA...!?
Nimependa maelezo yako, ngoja nijaribuDownload app moja ivi inaitwa "primo" kutoka play store kisha fanya ku register account then after confirmation kuna namba utapewa pale ya USA ichukue na uicopy pembeni... Aya fungua whatsapp yako na kwenye kuingiza namba eka country code ya USA ambayo inaanzaga na +1 ____ ikifuatia na namba husika za nchi hiyo ivo baada ya kuselect io code eka sa iyo namba ya USA ulotoa kwenye primo....... Ila kumbuka kwenye kuconfirm whatsapp codes chagua "Call" whatsapp itapga kule kwenye primo.... na ustumie kutumiwa codes kwa"SMS" course hutoipata io text ilio na codes ndio maana nmekuambia chagua by "CALL" kisha endelea na usajili as normal mkuu......
Swali la kizushi... Mkuu kwann ustumie tu No. Yako tu ya kawaida mpaka unataka ya USA...!?
Download app moja ivi inaitwa "primo" kutoka play store kisha fanya ku register account then after confirmation kuna namba utapewa pale ya USA ichukue na uicopy pembeni... Aya fungua whatsapp yako na kwenye kuingiza namba eka country code ya USA ambayo inaanzaga na +1 ____ ikifuatia na namba husika za nchi hiyo ivo baada ya kuselect io code eka sa iyo namba ya USA ulotoa kwenye primo....... Ila kumbuka kwenye kuconfirm whatsapp codes chagua "Call" whatsapp itapga kule kwenye primo.... na ustumie kutumiwa codes kwa"SMS" course hutoipata io text ilio na codes ndio maana nmekuambia chagua by "CALL" kisha endelea na usajili as normal mkuu......
Swali la kizushi... Mkuu kwann ustumie tu No. Yako tu ya kawaida mpaka unataka ya USA...!?
kikiDownload app moja ivi inaitwa "primo" kutoka play store kisha fanya ku register account then after confirmation kuna namba utapewa pale ya USA ichukue na uicopy pembeni... Aya fungua whatsapp yako na kwenye kuingiza namba eka country code ya USA ambayo inaanzaga na +1 ____ ikifuatia na namba husika za nchi hiyo ivo baada ya kuselect io code eka sa iyo namba ya USA ulotoa kwenye primo....... Ila kumbuka kwenye kuconfirm whatsapp codes chagua "Call" whatsapp itapga kule kwenye primo.... na ustumie kutumiwa codes kwa"SMS" course hutoipata io text ilio na codes ndio maana nmekuambia chagua by "CALL" kisha endelea na usajili as normal mkuu......
Swali la kizushi... Mkuu kwann ustumie tu No. Yako tu ya kawaida mpaka unataka ya USA...!?
Shukrani mkuu nakuombea ujana mrefu mana uzee mateso..
Dalili za kwendq usa sizioni kabisa asa nishindwe hata kutumia namba ya usa kweli hebu nisafishe nyota kwa kuanza kutumia namba zao kwanza
Hapana mkuu.... Iyo ya Whatsapp mbili katika sim moja ni case nyingne.... Ukitaka kurun Whatsapp mbili kwenye sim moja download application ya whatsapp nyingne inaitwa GBWhatsApp....Mkuuu hii inakuwezesha kutumia WhatsApp mbili ndani ya simu moja?