KENNY JEEZY
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 271
- 279
Ipo hiviOk... Poa mkuu hebu subili ili uone itakuaje... maana naona asaiv Primo wamebadili utaratibu... Namba zmekua za kulipia akati zaman tulkua tunatumia Free tu... Out of charges...
Lakini sidhan kama na kwenye WhatsApp ita expire.... Me nadhan ita expire tu kule kwenye Primo na kuacha kutumika hko ila kwenye WhatsApp nadhan mambo yatakua gud tu.... Sababu hata primo sidhan kama wanajua io namba unaitumia kwingne(kwenye whatsapp) tofauti na kwenye app yao.....
Namba ikiisha muda wa matumizi uliopewa na primo, kwenye WhatsApp utabaki nayo lakini kule primo hiyo namba atapewa mtu mwingine hivyo na yeye akiisajili kwenye WhatsApp ndio anakuwa amekunyang'anya hiyo namba, na watu uliokuwa unachat nao wakituma text kwa hiyo namba text zitaenda kwake