Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
well mummy pole sana na imani utakuwa unawakilisha wanawake wengi tu kuliko unavyofikiria mimi mwneyewe niko kwenye ndoa mummy but will tel u one thing.
KILA WANANDOA WANA MATATIZO YAO YA AINA YA KIPEKEE AU YANOYAFANANA NA NDOA ZINGINE lakini jinsi ya kuyatatua hakuna kanuni kila mmoja ana njia zake ila matokeo tu ndio yanayofanana aidha kuachana au kusonga mbele.
Pili may b am not a good adviser, bcoz for me my happiness kwanza kabla ya kitu chochote not even a child.kwa maneno mengine ni kwamba siwezi teseka kwa mume wangu nikavumilia kashfa na manyanyaso kisa eti tuna watoto tukiachana watateseka, but at the same time watu wanasahau pia watoto kuwa kwenye nyumba ambayo haina furaha ni wanateseka pia kwasababu wazazi saa zote wanakuwa kwenye moods mbaya.
mummy life is too short na miaka hairudi nyuma darlin inakwenda mbele na ndivyo unavyozidi kuzeeka , yanini yeye ale raha na huyo kishanshuda anayempa raha wewe ndo uteseke? bibi angalia hamsini zako na ukiwa unatafakari hilo weka furaha yako mbele kwanza kuliko chochote.
najua mtaniiita 'selfish' niiiteni tu
Duh...haya majina/maneno mengine hata sijui yana maanisha nini
Kuna mtu mwenyen kamusi karibu aniazime?