Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
............ JosM ndo naelekea huko ingawa sio kazi ndogo!!
hehehe nafasi kwangu bado ipo wazi haijazibwa karibu sana Mwana....
............ JosM ndo naelekea huko ingawa sio kazi ndogo!!
Kwa hiyo majina nayo yanaleta hamu na hamasa flani swity?
............ JosM ndo naelekea huko ingawa sio kazi ndogo!!
luv mie naona yote sawa tu, ukimwita baba fulani au jina lake poa tu, sema wengi wetu wakishapata mtoto tu wanaitana mama/baba fulani unakuta kuitana majina yao inakuwa kama ngumu kidogo.
hehehe nafasi kwangu bado ipo wazi haijazibwa karibu sana Mwana....
MJO kuwa makini hapo....lol
hehehe nafasi kwangu bado ipo wazi haijazibwa karibu sana Mwana....
MJO kuwa makini hapo....lol
.... He nako nikitendwa si nitakuwa kila siku nalivua pendo nalivua pendo mwishowe pendo ligome kuvalika milele bure!!Kwani kuna ubaya swity? Si anavua kule alafu anafanya replacement pahala pengine life goes on.
.... He nako nikitendwa si nitakuwa kila siku nalivua pendo nalivua pendo mwishowe pendo ligome kuvalika milele bure!!
...........Fidel kwani we malaika kusema hutanitenda? Nashukuru kwa offer kaka but mh hapana acha tu nipumzike sitamani tena.
............ JosM ndo naelekea huko ingawa sio kazi ndogo!!
ONYO Usiwazikileze akina Fidel na wenzake,si unaona wanataka uachane na jamaa alafu wao wakuchukue? kwanza Fidel mwenyewe aliachwa na mkewe kwa sababu ya kupenda totoz.
Mkuu nina concrete shared experience, which is from my best friend
Personal experience bado sina, mie bado nipo kama Fidel
hehehehe JosM mbona Mwanajamii anajua wazi kuwa mimi bado nipo nipo lakini tatizo kuna mke wamtu ananipenda mno kuliko maelezo anasubili tu apewe talaka na mme wake ili awe huru. Mi bado JosM natarajia 2012 nitaweka wazi hapa hapa mtajua tu.
hehehehe JosM mbona Mwanajamii anajua wazi kuwa mimi bado nipo nipo lakini tatizo kuna mke wamtu ananipenda mno kuliko maelezo anasubili tu apewe talaka na mme wake ili awe huru. Mi bado JosM natarajia 2012 nitaweka wazi hapa hapa mtajua tu.
Hahahaha Kaizer bado huyo hayupo kwenye list labda Mwanajamii anaweza akapigania aingie kwenye list hehehe.
Habari
Leo naungana na dada yangu Mwasity katika kile alichokiimba.....
Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
Nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
Nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
Kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini (By Mwasiti)
Hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema
Nauliza tu ndugu zangu maana...................mh