Nalivua pendo...

Nalivua pendo...

Pole kwa yaliyokukuta. Usife moyo zidi kusonga mbele i know you can do it.
Mahusiano ni mtihani mkubwa katika maisha kuna wanaofaulu kuna wanaoshindwa.
kushindwa kwako mtihani huu katika maisha haina maana hukuwa na hekima au busara
ya kuweza kushinda mtihani. Nafahamu ni rahisi kwetu sisi kukushauri hiki na kile lakini
ni wakati mgumu sana kwako lakini usikubali hata kidogo hii hali ikaitawala akili yako kukufanya ujione kama dunia yote umeibeba wewe. Endelea na shughuli zako kama kawaida jaribu kujenga furaha katika moyo wako kila siku uamkapo asubuhi kikubwa na muhimu usifanye kosa la kusema utatafuta mwingine wa kucover hiyo nafasi utaweza kuumizwa zaidi. Furaha katika maisha si lazima uwe katika mahusiano/ndoa kila kitu kina wakati wake naamini ipo siku utapata yule ambaye hataiumiza roho yako kiasi hiki.
 
Ahaa sasa hapa tupo ukurasa mmoja agika......wengine wanadhani waume zao ni kaka zao....lol
zile za kumkaribisha mumeo "karibu baba" au ukitaka kumwambia jambo unaanza "baba sasa.........." unamuogopa sijui kama nini mie bhuwa nachoka na couple zingine jamani mwe!! mtu hawezi kumpiga hata busu la shavu mumewe wakiwa wametoka kaa! wakati akiwa na nyumba ndogo anapigwa busu mpaka kwenye pachupachu za kidole gumba.mhhh kwaheri weeekend njema
 
zile za kumkaribisha mumeo "karibu baba" au ukitaka kumwambia jambo unaanza "baba sasa.........." unamuogopa sijui kama nini mie bhuwa nachoka na couple zingine jamani mwe!! mtu hawezi kumpiga hata busu la shavu mumewe wakiwa wametoka kaa! wakati akiwa na nyumba ndogo anapigwa busu mpaka kwenye pachupachu za kidole gumba.mhhh kwaheri weeekend njema

hizi za mabinti wa kichaga kabla hawajawa wajanja
wakishakuwa wajanja, utawakamata tena

na nawwshauri ndugu zangu kama hujao halafu unataka kuoa mwanamke kutoka uchagani eti unataka challenge ya maisha basi mtafutie hapa hapa mjini. Ukienda kumtoa uko Kishimundu ndio ukamleta hapa town atakuja na hizi za 'baba' lakini baada ya muda hutajuta kuoa kileji
 
zile za kumkaribisha mumeo "karibu baba" au ukitaka kumwambia jambo unaanza "baba sasa.........." unamuogopa sijui kama nini mie bhuwa nachoka na couple zingine jamani mwe!! mtu hawezi kumpiga hata busu la shavu mumewe wakiwa wametoka kaa! wakati akiwa na nyumba ndogo anapigwa busu mpaka kwenye pachupachu za kidole gumba.mhhh kwaheri weeekend njema

Yeah habari ndo hiyo, kuna wengine utasikia 'namwahi baba nyumbani' au 'ngoja niongee na baba'...ukija kucheki ni baba yupi kumbe ni mumewe, tatizo wengine wanaolewa na wababa kweli wamewapita umri zaidi ya 10 yrs lakini hicho sio kigezo,, nini busu wengine hata kuongozana tu kasheshe, wakati mi nikitinga njiani tumeshikana mikono, hakuna kitu kizuri kama cha kwako jamani!

weekend njema pia agika, usinywe pombe na kuendesha,, sawa?
 
hizi za mabinti wa kichaga kabla hawajawa wajanja
wakishakuwa wajanja, utawakamata tena

na nawwshauri ndugu zangu kama hujao halafu unataka kuoa mwanamke kutoka uchagani eti unataka challenge ya maisha basi mtafutie hapa hapa mjini. Ukienda kumtoa uko Kishimundu ndio ukamleta hapa town atakuja na hizi za 'baba' lakini baada ya muda hutajuta kuoa kileji


Mkuu una uzoefu naoa au umesikia tu? LOL
 
Mkuu una uzoefu naoa au umesikia tu? LOL

Mkuu nina concrete shared experience, which is from my best friend

Personal experience bado sina, mie bado nipo kama Fidel
 
Yaani, hadi nakosa hata la kuchangia, kama ni kitchen party basi ya nguvu umepewa tena kutoka kwa wadada na wakaka.
Natamani ningekuwa karibu nawe dada yangu ukilia tulie wote......hasira zikiisha sasa nakwambia tumsubiri arudi huyo kidume cha mbegu then mimi ndio niwe msemaji mkuu nimweleze anavyokutesa...then nitakusaidia kuchagua vya kuchukua kama alivyosema and off we go.. no turning back.
 
zile za kumkaribisha mumeo "karibu baba" au ukitaka kumwambia jambo unaanza "baba sasa.........." unamuogopa sijui kama nini mie bhuwa nachoka na couple zingine jamani mwe!! mtu hawezi kumpiga hata busu la shavu mumewe wakiwa wametoka kaa! wakati akiwa na nyumba ndogo anapigwa busu mpaka kwenye pachupachu za kidole gumba.mhhh kwaheri weeekend njema

................ Kuna wa'baba' wengine wanaupenda huo u'baba' ati...... aogopewe na watoto mpaka mke!
 
Habari
Leo naungana na dada yangu Mwasity katika kile alichokiimba.....

Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
Nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
Nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
Kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini (By Mwasiti)

Hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema

Nauliza tu ndugu zangu maana...................mh

Kuokoka kwa maana ya kumuamini na kumkiri Yesu Kristo kuwa ni bwana ndiyo suluhisho....Ukiokoka ki ukweli na ukawa ushuhuda kwa mwenzi wako,atakufuata bila kumshinikiza...na mtaishi maisha mazuri. hivi vitu huwezi ukavijua ukiwa nje ya wokovu....they're real.
usiangalie maisha ya wanaoigiza wokovu,jitoe wewe umtumikie Mungu vitu vingine vitanyooka vyenyewe...
nina uzoefu na nisemacho/niandikacho hapa,nina ndo ya miaka2 kipengele cha wivu na usumbufu wa ndoa hakipo,zaidi ni maendeleo na Kumcha Mungu.
 
Yaani, hadi nakosa hata la kuchangia, kama ni kitchen party basi ya nguvu umepewa tena kutoka kwa wadada na wakaka.
Natamani ningekuwa karibu nawe dada yangu ukilia tulie wote......hasira zikiisha sasa nakwambia tumsubiri arudi huyo kidume cha mbegu then mimi ndio niwe msemaji mkuu nimweleze anavyokutesa...then nitakusaidia kuchagua vya kuchukua kama alivyosema and off we go.. no turning back.

nkawa yaani imenibidi tu nicheke dada yangu maana ulivyoelezea kwa huruma hadi mwenyewe nimejiona sina huzuni.

Dada hakuna cha kitchen party wala nini basi tu ukimpenda mtu yote yanawezekana. Nafikiri kwa sasa hasira zimenipungua natafakari tu cha kufanya kwa sababu mwenyewe bado anaona ni sawa tu alivyofanya na hajasema lolote so najiandaa kupokea lolote ingawa naelewa anaweza akakaa hivi kwa muda mrefu tu kwani anajua kuwa naumia!. Inawezekana kuna ukweli kuwa ukimpenda mtu usimwonyeshe atakuumiza (sijui utawezaje kuficha!!)
 
Kuokoka kwa maana ya kumuamini na kumkiri Yesu Kristo kuwa ni bwana ndiyo suluhisho....Ukiokoka ki ukweli na ukawa ushuhuda kwa mwenzi wako,atakufuata bila kumshinikiza...na mtaishi maisha mazuri. hivi vitu huwezi ukavijua ukiwa nje ya wokovu....they're real.
usiangalie maisha ya wanaoigiza wokovu,jitoe wewe umtumikie Mungu vitu vingine vitanyooka vyenyewe...
nina uzoefu na nisemacho/niandikacho hapa,nina ndo ya miaka2 kipengele cha wivu na usumbufu wa ndoa hakipo,zaidi ni maendeleo na Kumcha Mungu.

Ndugu yangu nashukuru sana kwa ushauri wako. Nitaufanyia kazi nakuahidi. Aksante sana Mpendwa. Je hata kama imani ni tofauti nitawezapata faraja kweli? (najua kwa MUNGU hakuna lisilowezekana) ila si unajua tena siye ambao bado hatujampokea Christ huwa tunakuwa kina Tomaso- hatuamini haraka mpaka tuguse!

Kwa sababu saa nyingine huwa nahisi kama ni adhabu toka kwa MUNGU kwa kumuasi (sijui kivipi )
 
Ndugu yangu nashukuru sana kwa ushauri wako. Nitaufanyia kazi nakuahidi. Aksante sana Mpendwa. Je hata kama imani ni tofauti nitawezapata faraja kweli? (najua kwa MUNGU hakuna lisilowezekana) ila si unajua tena siye ambao bado hatujampokea Christ huwa tunakuwa kina Tomaso- hatuamini haraka mpaka tuguse!

Kwa sababu saa nyingine huwa nahisi kama ni adhabu toka kwa MUNGU kwa kumuasi (sijui kivipi )

...Mwj'1 geuza hiyo unayoona 'adhabu' ni jaribio alilokukadiria na kuna mlango wake wa kutokea. Hakikisha hutokei dirishani au kwa kuuvunja ukuta!
 
...Mwj'1 geuza hiyo unayoona 'adhabu' ni jaribio alilokukadiria na kuna mlango wake wa kutokea. Hakikisha hutokei dirishani au kwa kuuvunja ukuta!

Aksante Mbu nitajitahidi kutotokea dirishani au kuuvunja ukuta. Ngoja nijitahidi kujifunza si waanasemaga kuwa ukikumbwa na matatizo ndivyo unavyopevuka kiutu uzima? yaani unakuwa na akili ya kikubwa ingawaje kiumri unaweza kuwa kinda?
 
Baada ya kufuatilia sana naona ushauri wangu wa mwisho ni huu. When one door is closed, another one is open somewhere. Just look arround. Kung'ang'ania mlango uliokwisha fungwa inaweza kuwa mwanzo wa mwisho wako. Tafuta milango iliyofunguka utokee huko.
 
Baada ya kufuatilia sana naona ushauri wangu wa mwisho ni huu. When one door is closed, another one is open somewhere. Just look arround. Kung'ang'ania mlango uliokwisha fungwa inaweza kuwa mwanzo wa mwisho wako. Tafuta milango iliyofunguka utokee huko.

ha ha ha... nani kaufunga huo mlango? ...MJ'1 na wote mliokumbwa na misuko suko ya malovee wiki hii nawatakia wikiendi njema huku mkijiburudisha kwa makini kibao hichi murua;

"Don't think I can't feel that there's something wrong
You've been the sweetest part of my life so long
I look in your eyes, there's a distant light
And you and I know there'll be a storm tonight
This is getting serious
Are you thinking 'bout you or us

Don't say what you're about to say
Look back before you leave my life
Be sure before you close that door
Before you roll those dice
Baby think twice

Baby think twice for the sake of our love, for the memory
For the fire and the faith that was you and me
Baby I know it ain't easy when your soul cries out for higher ground
'Coz when you're halfway up, you're always halfway down
But baby this is serious
Are you thinking 'bout you or us

Baby this is serious
Are you thinking 'bout you or us

Don't say what you're about to say
Look back before you leave my life
Be sure before you close that door
Before you roll those dice

Don't do what you're about to do
My everything depends on you
And whatever it takes, I'll sacrifice
Before you roll those dice
Baby think twice "

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=rriGtwl1oGE"]YouTube - Celine Dion -Think Twice[/ame]​
 
Yeah habari ndo hiyo, kuna wengine utasikia 'namwahi baba nyumbani' au 'ngoja niongee na baba'...ukija kucheki ni baba yupi kumbe ni mumewe, tatizo wengine wanaolewa na wababa kweli wamewapita umri zaidi ya 10 yrs lakini hicho sio kigezo,, nini busu wengine hata kuongozana tu kasheshe, wakati mi nikitinga njiani tumeshikana mikono, hakuna kitu kizuri kama cha kwako jamani!

weekend njema pia agika, usinywe pombe na kuendesha,, sawa?


mie nmezoea hivyo lakini kutokana na mazingira fulani, naweza kusema watoto ndio wamenifanya nitumie hilo neno, 2kiwa kwenye mazingira mengine tunaitana majina yetu ya kawaida tu.
 
mie nmezoea hivyo lakini kutokana na mazingira fulani, naweza kusema watoto ndio wamenifanya nitumie hilo neno, 2kiwa kwenye mazingira mengine tunaitana majina yetu ya kawaida tu.

Kwa hiyo majina nayo yanaleta hamu na hamasa flani swity?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom