Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 105
Mwanajamii ushauri wangu ni huu.
Jaribu kuchunguza yafuatayo ndo kiini cha gogolo hilo.
1.FINANCIAL FACTOR
2.BED ROOM FACTOR
3.RELATIVES FACTOR.
Ndoa nyingi matatizo yanaanzia hapo juu.
Bwana Fidel
Factors kubwa hapa financial and bedroom factor. Ukikuta mwanaume au mwanamke wanagombana hadi kuachana kwa sababu ya hizi factor mbili husishangae. Ila ukikuta wapenzi wanagombana hadi kuachana kwa factor ya relatives then wao wenyewe wana weakness kubwa kwenye mifumo yao ya maisha na utatuzi wa migogoro. Sociologically in conflict theory perspective mara nyingi ugomvi wa kimapenzi ni hulka ya mpenzi mmoja kutoridhika na kitu au jambo kutoka kwa mwenzake. Suala la mtu wa tatu kwenye theory hii linachukuliwa kama minor case kutokana na nguvu ya mapenzi ambayo hata Functional theory inazungumzia mapenzi kama sehemu muhimu sana ya kufanya muunganiko wa watu wawili au familia mbili au makabila mawili au mataifa mawili ambayo kamwe hayakuwahi kuwa na fununu za kuungana.
Kwa suala la mwenzetu hapa inabidi aangalie hizo factors mbili kama hiyo ya tatu ya relatives imeshaanza kuwa kikwazo basi hapo kuna tatizo kubwa sana zaidi ya mapenzi yenyewe, ogopa sana kuchukiwa na ndugu wa upande mmoja.