Nalivua pendo...

Dada yamenikuta sina hata nguvu ya kusema........ huweziamini hapa niko natiririkwa na machozi ka bomba la mvua! Sijui nifanye nini wala nianzie wapi!

Pole sana dadaake,haya ndo maisha ndugu yangu na huu ndo ukubwa.Kama nilivyosema hapo mwanzo bado umakini unatakiwa,pia angalia sana hisia zisitawale maamuzi yako.Busara na uhalisia wa mambo utawale maamuzi yako kwani wewe ndo unajua umeumia kiasi gani na penzi lako limeharibika kiasi gani unajua vizuri wewe.Muhimu zaidi,jipe muda ili uweze kuzichambua option zote zilizopo.Na mwisho kabla haujaamua kulivua pendo ni vizuri ukawashirikisha waliokutangulia kuliona jua.
 
Fidel .......... shukuru MUNGU hayajakukuta ndugu yangu !

Mi hata pole sikupi iwa nawaambia mambo ya kukulupukaga kuolewa kwa vile jamaa kafika bei athari zake ndo hizi watu waliluka luka na kunywa siku ya harusi leo wamekuachia matatizo hawapo tena wanaendelea na hamsini zao.
Nitakupa ushauri baadae.
 
Mi hata pole sikupi iwa nawaambia mambo ya kukulupukaga kuolewa kwa vile jamaa kafika bei athari zake ndo hizi watu waliluka luka na kunywa siku ya harusi leo wamekuachia matatizo hawapo tena wanaendelea na hamsini zao.
Nitakupa ushauri baadae.

Kweli Fidel natamani kurudisha siku nyuma....... ungekuwepo si ungenishauri vema wakati ule kaka yangu?
 
Bora yangekuwa hayo dada!

Hivi ulishawahi kuwa na mwenzio ukahisi kuwa anaregret kuwa na wewe (hisia zako tu) halafu siku ikatokea akakwambia tu out of no where- we do not have future? Halafu baada ya sentence hiyo akwambie chagua chochote utakacho uchukue halafu baada ya hapo husikii tena sauti yake?

Mbaya zaidi wewe uwe bado unampenda!


MJ1, hapo ndo napopashindwa kupaelewa, thats not possible katika hali ya kawaida..isije akawa amekuendea kwa kalumanzila (Mungu aepushie mbali)

Pole sana, lakini sidhani kama huo ni upendo.....huo ni utumwa, the earlier you abolish it the better
 
Nakwambia hii ndo solution lakini hakikisha kipoozeo mnaenda kupima ili nawe uwe na uhakika na unachokitafuna.
Unaelewa nini maana ya mapenzi?
Si unataka usuuze nafsi na moyo wako uburudike basi hiyo ndo solution mbona yeye anasuuzika huko ambako hukujui?

usijaribu hiyo.....tuliza moyo na jipange sawa!
 
Pole sana dadaake,haya ndo maisha ndugu yangu na huu ndo ukubwa.Kama nilivyosema hapo mwanzo bado umakini unatakiwa,pia angalia sana hisia zisitawale maamuzi yako.Busara na uhalisia wa mambo utawale maamuzi yako kwani wewe ndo unajua umeumia kiasi gani na penzi lako limeharibika kiasi gani unajua vizuri wewe.Muhimu zaidi,jipe muda ili uweze kuzichambua option zote zilizopo.Na mwisho kabla haujaamua kulivua pendo ni vizuri ukawashirikisha waliokutangulia kuliona jua.

Aksante sana Che Kalizozele kwa ushauri wako.
 
Kweli Fidel natamani kurudisha siku nyuma....... ungekuwepo si ungenishauri vema wakati ule kaka yangu?


haaa ucjute kiac hicho mpaka cha kutaka kurudisha cku nyuma MJO jamani, naomba nikuulize mmeshatengana au upo kwenye process?...kama ngumu nijibu pm
 
Mi hata pole sikupi iwa nawaambia mambo ya kukulupukaga kuolewa kwa vile jamaa kafika bei athari zake ndo hizi watu waliluka luka na kunywa siku ya harusi leo wamekuachia matatizo hawapo tena wanaendelea na hamsini zao.
Nitakupa ushauri baadae.

ma luv Fidel sio wote wanaolewa wamekurupuka, mapendo ya leo sio ya kesho, na kutendana kupo maishani ni kufunga kibwebwe tu.
 
haaa ucjute kiac hicho mpaka cha kutaka kurudisha cku nyuma MJO jamani, naomba nikuulize mmeshatengana au upo kwenye process?...kama ngumu nijibu pm

Hatujatengana kwa sababu mwenzangu hajatamka hilo ila actions zake tu zainadhihirisha kuwa hanihitaji tena. Tuko pamoja kama vile tunategeana nani aanze ili lawama ziwe juu yake. Cha moto nakiona .... ndo maana nafikiria bora tu niamue mimi potelea mbali lawama ili nisiendelee kuteseka
 
MJ1, hapo ndo napopashindwa kupaelewa, thats not possible katika hali ya kawaida..isije akawa amekuendea kwa kalumanzila (Mungu aepushie mbali)

Pole sana, lakini sidhani kama huo ni upendo.....huo ni utumwa, the earlier you abolish it the better

Kaizer......................acha tu kaka!
 
Kwanza pole sana
Pili nichangie kama ifuatavyo:-

Kimsingi haya ni matatizo ya kawaida sana kwenye hili eneo la mapenzi laiti kama ungefanikiwa kupata mikasa ya kila mmoja wetu kwenye eneo hili ungeshika kichwa. Lakini mikasa hii inatofautiana na kila mtu ameitatua anavyojua yeye mwenyewe na akili yake na kwa ushauri alioupata aidha kwa ndugu au kwa jamii inayomzunguka.

Cha msingi cha kuelewa hapa ni kwamba kulivua au kutolivua penzi/pendo ni process ndefu au fupi kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Kwa maana hiyo sio jambo la leo tu then unaquit. Kuna wengine wanachukua miaka miwili wakipanga kuachana kutokana na mmoja kuchoshwa na mwingine lakini kuna wengine wana-achana ndani ya siku moja lakini kuachana kule kuna mmoja aidha alikuwa anasikia mambo fulani toka kwa watu au alikuwa amechoshwa na tabia ya mwenzi wake kwa muda wa siku nyingi na alikuwa anamvutia pumzi tu. Sasa wewe my dear ndio umedondokea hapa kwenye kundi ili, kuwa ni muda sasa umevumilia lakini leo unaona mwisho umefikia.

Ushauri wangu:-
Ni kweli kuwa husiingie kwenye ndoa takatifu ukiwa una mashaka (doubts) kwani athari zake ni kwamba samaki mkunje angali mbichi.
Lakini pia husilivunje pendo ukiwa bado una miss kitu ingawa nyie wanawake mna tabia moja mbaya sana ya kutaka kuvunja uhusiano baada ya kuwa mmepata mbadala ndio maana hata kusolve tatizo inakuwaga ngumu kwakuwa tayari mhusika mmoja (mwanamke) anakuwa ana sehemu nyingine anapoponea kimapenzi.

Pia nimeona uku ndani ya ushauri kuna mapigano kati ya wachangiaji wanaume na wachangiaji wanawake. Kimsingi wanawake wanaonyesha kuchoshwa na tabia za wanaume kwenye mapenzi kana kwamba wanaume ndio waliobobea katika kuharibu mapenzi. Lakini wasisahau pia kuwa wanawake wana udhaifu mkubwa sana kwenye mapenzi hasa kwenye kutatua migogoro ya mapenzi pale inapoibuka.

Kwakumalizia
Migogoro ya mapenzi kwangu mimi nichukulia kama migogoro kwenye sekta ya ardhi ambayo kimsingi inachosha na kumzeesha mhusika au kuwazeesha wahusika.

asanteni
 
Mwanajamii ushauri wangu ni huu.
Jaribu kuchunguza yafuatayo ndo kiini cha gogolo hilo.
1.FINANCIAL FACTOR
2.BED ROOM FACTOR
3.RELATIVES FACTOR.
Ndoa nyingi matatizo yanaanzia hapo juu.
 
Mwanajamii ushauri wangu ni huu.
Jaribu kuchunguza yafuatayo ndo kiini cha gogolo hilo.
1.FINANCIAL FACTOR
2.BED ROOM FACTOR
3.RELATIVES FACTOR.
Ndoa nyingi matatizo yanaanzia hapo juu.

Aksante Fidel, nitalifanyia kazi wazo lako. Thanx
 
Hatujatengana kwa sababu mwenzangu hajatamka hilo ila actions zake tu zainadhihirisha kuwa hanihitaji tena. Tuko pamoja kama vile tunategeana nani aanze ili lawama ziwe juu yake. Cha moto nakiona .... ndo maana nafikiria bora tu niamue mimi potelea mbali lawama ili nisiendelee kuteseka


kwanini unahic kwamba mwenzako hakuhitaji tena? na yeye labda anahic hivyo hivyo ndio mana mnategeana nani wa kumwanza mwenzie, mmeshawahi kuongelea tofauti zenu? unajua unaelezea ki juu juu mami chanzo cha haya yote mpaka kufikia huku ni nini?
 
""Migogoro ya mapenzi kwangu mimi nichukulia kama migogoro kwenye sekta ya ardhi ambayo kimsingi inachosha na kumzeesha mhusika au kuwazeesha wahusika.""


maneno mazito hayo sipo.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom