nemic4u
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 445
- 300
mtu ukishafikia maamuzi hayo ni kwamba ni kweli umechoshwa na hutakiwi kugeuka nyuma milele....kama kitu kimekushinda/kuchosha kwanini ung'ang'ane tu?
Wengi hujipa moyo ipo siku atabadilika ndio mana anang'ang'ania tuuuuuuuuuu