Nalivua pendo...

Nalivua pendo...

I am as clean as a slate. Nilishajitumbua zamani, niko swaaaf. Najichekea tu mie. Na Yesu aliniokoa kwa hiyo furaha kama chemchemi za uzima (usiulize maana yake)
Unacheka kwa furaha? Hauna jipu? Maana kutumbua majipu ndo habari ya mjini.

Nakukumbusha hii ni Kwaresma
 
I am as clean as a slate. Nilishajitumbua zamani, niko swaaaf. Najichekea tu mie. Na Yesu aliniokoa kwa hiyo furaha kama chemchemi za uzima (usiulize maana yake)
Kanisa lako ndo lile la chemchemi ya maji ya uzima? Nataka nijiunge na kwaya.... nimeona vipaji hasa kwenye sauti ya kwanza. mi ni kwaya masta mzuri sana niliyetukuka
 
I am as clean as a slate. Nilishajitumbua zamani, niko swaaaf. Najichekea tu mie. Na Yesu aliniokoa kwa hiyo furaha kama chemchemi za uzima (usiulize maana yake)
Mimi nimeelewa maana yake vipi finnally mch alifika?lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom