Am telling you you are very very right.
Haikuwa rahisi kabisa but nimesonga mbele dadangu
(Haya irudishe upesi ulipoifukua hii thread)
Kwa hiyo sasa hivi hujalivaa?
Au umevaa ukiwa tayari kuvua.....
Anyway....hiyo dedication ya GY ndo mahali pake.....sail on!
😎 thredi ina miaka mitatu....