Nalivua pendo...

Nalivua pendo...

Kuna muda unafika unapaswa ku assess mahusiano uliyomo,uvumilivu upo ila si wote wanastahili kuvumiliwa na si yote yanavumilika. Mwisho wa siku adhabu ya kaburi aijuaye maiti.
Kama huwezi tena shika njia before its too late. Kuanza upya si ujinga.

Well said bidada... Vyote vinavumilika ila kuna kimoja tu ambacho kimenishinda aisee!!!
 
Mu hali gani wanajukwaa....

Kichwa cha topic kinahusika..... Kuna huu wimbo wa Mwasiti huwa naupenda sana "hasa katika nyakati kama hizi" Naomba mwenye lyrics zake anitupie hapa.

Wakati huo mkuu BAK akitupia Ma-Youtube.

Kisha tutaendelea na mada.......

I AM FED UP!!!!
Kipi kimekusibu mamito?
 
Mu hali gani wanajukwaa....

Kichwa cha topic kinahusika..... Kuna huu wimbo wa Mwasiti huwa naupenda sana "hasa katika nyakati kama hizi" Naomba mwenye lyrics zake anitupie hapa.

Wakati huo mkuu BAK akitupia Ma-Youtube.

Kisha tutaendelea na mada.......

I AM FED UP!!!!

Vua kabisa mammy.......ya nini kufa ulongo.....tchaaaa......
 
Last edited by a moderator:
pole dear potezea mwanaume wa ukweli haitaji nguvu nyingi! kama ipo ipo kama haipo haipo ...songa mbele kwani ni nini? mtu kakukuta na meno yako 32... utaishi tu ivo hivo.
msimu wa sikukuu huu raha kweli ukiwa single ujue

uuuuh....hebu sema tena na tena na tena......
 
Na wewe..........tayari umeshahukumu!

Ila bana unaweza kusoma mahali halafu 'flash back' ikapiga kichwani paaa, ukajua ni kama yuleyule wa kwangu.
'Najaribu tu kufikiri'!!:tape::tape:

It is a girly thing, inasaidia kumtukana akiyempa maumivu shosti wako.
Good line of thinking, lkn you are half wrong.
 
Mu hali gani wanajukwaa....

Kichwa cha topic kinahusika..... Kuna huu wimbo wa Mwasiti huwa naupenda sana "hasa katika nyakati kama hizi" Naomba mwenye lyrics zake anitupie hapa.

Wakati huo mkuu BAK akitupia Ma-Youtube.

Kisha tutaendelea na mada.......

I AM FED UP!!!!
mmmh! daughter kulikoni jamani!!
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh, sometimes unang'ang'ana na kichomi bila kujua
Wakati kuna mtu pembeni yako he is dying to shower you with love, real love.

I know, ndio maana nimemwambia hivyo. Yaani mimi naamini kuna bad things zinahappen ili kutupaisha kwenda level nyingine, so she should take it positively.
 
Habari
Leo naungana na dada yangu Mwasity katika kile alichokiimba.....

Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
Nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
Nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
Kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini
(By Mwasiti)

Hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema

Nauliza tu ndugu zangu maana...................mh

Dah.... Meumia saaaaana!!!!
 
Ndahani nashukuru kwa kunipa moyo ila mh maana kama kuvumilia ni mwngi nimevumilia lakini mwishoni naona nashindwa. kwa nini mimi tu, mimi tu niwe nabembeleza kila siku hata kama makosa kafanya yeye?
mimi tu niwe naumia kwa sabau yake?... kwa nini mimi tu ndo niwe nahangaika to make it work? ... mimi tu why mimi tu? jamani ah

Pole sana ndgu yangu,najua unachoptia ni kgumu sana ila ni vzr kama unasehemu unaweza kwenda ukamuacha kwa mda ukfkria zaid,yan u need sometime along uyapumzishe machungu unayoyahsi sasa,kama ni mume wako ondoka hata 3mnths umuache labda atarud baadae kujutia,hapo kukaa unaumia zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom