Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,934
Akili Unazo! ????????
Yes wangu tell me please
Akili Unazo! ????????
Ameen mkuu... Tena leo ntaenda kwa ibada nkatubu mazambi!!!
Hebu ngoja nijikumbushe huu wimbo....
"Huyo Shetani mbaya, sirudi nyuma naenda na Yesu x3"
Daddy nahisi nilivalishwa!
Kuna muda unafika unapaswa ku assess mahusiano uliyomo,uvumilivu upo ila si wote wanastahili kuvumiliwa na si yote yanavumilika. Mwisho wa siku adhabu ya kaburi aijuaye maiti.
Kama huwezi tena shika njia before its too late. Kuanza upya si ujinga.
Kipi kimekusibu mamito?Mu hali gani wanajukwaa....
Kichwa cha topic kinahusika..... Kuna huu wimbo wa Mwasiti huwa naupenda sana "hasa katika nyakati kama hizi" Naomba mwenye lyrics zake anitupie hapa.
Wakati huo mkuu BAK akitupia Ma-Youtube.
Kisha tutaendelea na mada.......
I AM FED UP!!!!
Mu hali gani wanajukwaa....
Kichwa cha topic kinahusika..... Kuna huu wimbo wa Mwasiti huwa naupenda sana "hasa katika nyakati kama hizi" Naomba mwenye lyrics zake anitupie hapa.
Wakati huo mkuu BAK akitupia Ma-Youtube.
Kisha tutaendelea na mada.......
I AM FED UP!!!!
chamring nikusaidie kulivua??
Hapo kwenye color ndipo nilipofanya makosa.... We learn from our mistakes!!!
pole dear potezea mwanaume wa ukweli haitaji nguvu nyingi! kama ipo ipo kama haipo haipo ...songa mbele kwani ni nini? mtu kakukuta na meno yako 32... utaishi tu ivo hivo.
msimu wa sikukuu huu raha kweli ukiwa single ujue
Daddy... Hebu ishia hapo kwanza!
Na wewe..........tayari umeshahukumu!
Ila bana unaweza kusoma mahali halafu 'flash back' ikapiga kichwani paaa, ukajua ni kama yuleyule wa kwangu.
'Najaribu tu kufikiri'!!:tape::tape:
mmmh! daughter kulikoni jamani!!Mu hali gani wanajukwaa....
Kichwa cha topic kinahusika..... Kuna huu wimbo wa Mwasiti huwa naupenda sana "hasa katika nyakati kama hizi" Naomba mwenye lyrics zake anitupie hapa.
Wakati huo mkuu BAK akitupia Ma-Youtube.
Kisha tutaendelea na mada.......
I AM FED UP!!!!
Umeona eeh, sometimes unang'ang'ana na kichomi bila kujua
Wakati kuna mtu pembeni yako he is dying to shower you with love, real love.
Ngoja niishie hapa hapa maana naona hata mods washaunganisha uzi wako na ule wa MwanajamiiOne ...sijui kwa nini wamefanya hivi loh!!!
Habari
Leo naungana na dada yangu Mwasity katika kile alichokiimba.....
Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
Nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
Nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
Kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini (By Mwasiti)
Hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema
Nauliza tu ndugu zangu maana...................mh
Sielewi, wameneutrelize kabisa issue ya CL. Na kuna mithread mingi isiyo na deal inaevolve kila siku hawafanyi kitu ingawa ilishajadiliwa kitambo.Ngoja niishie hapa hapa maana naona hata mods washaunganisha uzi wako na ule wa MwanajamiiOne ...sijui kwa nini wamefanya hivi loh!!!
Ndahani nashukuru kwa kunipa moyo ila mh maana kama kuvumilia ni mwngi nimevumilia lakini mwishoni naona nashindwa. kwa nini mimi tu, mimi tu niwe nabembeleza kila siku hata kama makosa kafanya yeye?
mimi tu niwe naumia kwa sabau yake?... kwa nini mimi tu ndo niwe nahangaika to make it work? ... mimi tu why mimi tu? jamani ah