Una pepo nenda ukaombewe na Gwajima a.k.a mzee wa pangaboi!Habari zenu wapendwa.
Mwenzenu nina tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.
Yaani najikuta nalia haswa kama nimepatwa na msiba. Tena akinikuna vizuri ndo nalia na kwikwi kabisa tukishamaliza tendo.
Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?
Ushauri jamani.
nshakwambia akinikuna vizuri, sasa kukunwa vizuri kuna maumivu?
nilishawahi kukutana na wa hivi miaka kadhaa iliyopita, na ilikuwa mara ya kwanza, na sikutumia ndomu..hivyo nilivyoona analia nikaingiwa na wasiwasi mkubwa sana kwamba kwanini analia, pengine anajilaumu kwanini ameniambukiza ngoma,....ilibidi kesho yake tukapime na sikukaa kwa amani miezi mitatu. kama uko hivyo lazima unamweka mwenzio kwenye hofu isiyopimika.Habari zenu wapendwa.
Mwenzenu nina tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.
Yaani najikuta nalia haswa kama nimepatwa na msiba. Tena akinikuna vizuri ndo nalia na kwikwi kabisa tukishamaliza tendo.
Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?
Ushauri jamani.
nilishawahi kukutana na wa hivi miaka kadhaa iliyopita, na ilikuwa mara ya kwanza, na sikutumia ndomu..hivyo nilivyoona analia nikaingiwa na wasiwasi mkubwa sana kwamba kwanini analia, pengine anajilaumu kwanini ameniambukiza ngoma,....ilibidi kesho yake tukapime na sikukaa kwa amani miezi mitatu. kama uko hivyo lazima unamweka mwenzio kwenye hofu isiyopimika.
Habari zenu wapendwa.
Mwenzenu nina tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.
Yaani najikuta nalia haswa kama nimepatwa na msiba. Tena akinikuna vizuri ndo nalia na kwikwi kabisa tukishamaliza tendo.
Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?
Ushauri jamani.
Mi hii hunitokea pindi ninapomsaliti mwenzangu
Nafsi ilikusuta, maana kama ulilia, huyo mtu wako anatimizaga majukumu yake kwako.
mkuu nahisi kama comment zako znatosha hivi....
hayo yote nafanya, hunikumbatia kumbato zuri tu, na wakati huo sasa ndo machozi yanaponitoka bila sababu, huwa najitahidi asijue kama nalia coz akishaanza kunibembeleza ndo yanazidi kumwagika na kwikwi juu! Na nashindwa kujizua kabisa, mpaka aniache kwa masaa kadhaa ndo nakuwa normal....
So sipendi hali hii coz hata ningekua nafanyiwa mimi nisingejisikia vizuri coz hata akiniuliza nalia nini sina cha kumjibu! Umri wangu ni kati ya 20-25
ha ha ha ha ha ha sikutegemea
nilikuwa na mpenzi ambae akifika kileleni anakata mawasiliano,....mwanzo niliogopa lkn nilimzoea
Hata mie nahisi hivyo!