Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
hivi uko nchi gani wewe? mana Tanzania hatuko hivi
hata Tanzania hatuna mabinti wanaolia baada ya game... wapo wakuwapa hela waumezao kwa shukrani ya kukunwa
hivi uko nchi gani wewe? mana Tanzania hatuko hivi
hahahhahah wala hata siwazi chochote, labda rahani kitu cha kawaida hicho kuna mawili hapo
,.....analia kwa furah ya kupta new guy na kukupa gegedo lililokukuna vizur unalilia utamu
,......unakuwa na mawazo ndni ya kichwa huyu nae kaona tena umbo lngu naked litaonwa na wangapi hadi ndoa....also unaogopa ishu za kuachwa tena na penzi ushatoa uuuuuupsi
jamani jamani jamani.... mimi kweli!!!!?
sina jibu sahihi ya nini kinachoniliza.... ndo mana nikasema sijui kwanini nalia, yani inatokea tu automatically machozi yananitoka, na wala huwa siumii, maybe utamu.... na kama ni utamu kwa nini nikishamzoea yani nikifanya nae mara 4/5 hivi naacha kulia? na utamu unakua ule ule au unazidi...
Habari zenu wapendwa.
Mwenzenu nna tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.
Yaani najikuta nalia haswa kama nimepatwa na msiba. Tena akinikuna vizuri ndo nalia na kwikwi kabisa tukishamaliza tendo.
Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?
Ushauri jamani.
kumbe watu wanaliaga maji? nalia kabisa mpaka kwikwi! hebu nielekeze wanakowatafutia hao waume?!
Nimesahau yale maneno ya The Boss
sa kulia hamna utamu wowote... lia kitandani sio umemaliza kula muhogo ndo unaleta uchuro
yawezekana, mana nakumbuka ulinambia kama wanifananisha alaf hukujib tena, embu ni PM kwanza....nadhani ni hisia kali(passion) na ndo unakua tayari unaanza kufungua chapter ya kumpenda mkunaji!!
Nimeshawahi kukutana na wasichana wa design hiyo kama watatu hivi so ni normal otherwise mmoja wapo uwe ni wewe
ha ha tulia kidogo wanna check you au unataka to rematch?yawezekana, mana nakumbuka ulinambia kama wanifananisha alaf hukujib tena, embu ni PM kwanza....