mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Unalia maana umejikomit madhambi acha zina na tafuta mwanaume halali baada ya kulia utafirahi
Ata ---- tena mkuu?
Unalia maana umejikomit madhambi acha zina na tafuta mwanaume halali baada ya kulia utafirahi
Wivu unakondesha.Inatokeaga belie mi huwa nalizwa na swali 1 tu ambalo huwa najiuliza mwenyewe baada ya game tight "hivi haya yoote nnayofanyiwa kuna mwanamke mwingine tena anaenda kupewa" nikijiuliza tu nalia
We utakuwa una k maji sana ndio maana maji yanazidi yanatokea machoni
nshakwambia akinikuna vizuri, sasa kukunwa vizuri kuna maumivu?[/Q
Wivu unakondesha.
Very simple! Kaa na huyohuyo mmoja hutolia tena la kama uko wa daily paid basi lisiwe tatizo ya ndani ni yenu peke yenu!Habari zenu wapendwa.
Mwenzenu nina tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.
Yaani najikuta nalia haswa kama nimepatwa na msiba. Tena akinikuna vizuri ndo nalia na kwikwi kabisa tukishamaliza tendo.
Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?
Ushauri jamani.
Inaonekana bikra yako ngumu sana.....pamoja na migegedo yote bado haijatoka....nshakwambia akinikuna vizuri, sasa kukunwa vizuri kuna maumivu?
hakuna kisa nilichoandika cha uongo..... vyote vinenitokea, vingine vya kupita na vingine bado vinaendelea, kama kile cha yule alonitishia kuniua.....
..basi unatatizo la kisaikolojia.....
[h=3]Mwenzenu nusu nitembee na kaka yangu[/h] Started by belie, 17th October 2014 16:35
[h=3]Kaka wa boyfriend wangu ananitaka[/h] Started by belie, 3rd October 2014 12:46
[h=3]Anataka kunioa kisa wanawake zake wote wameolewa[/h] Started by belie, 24th September 2014 17:04
[h=3]Anatishia kuniua kisa ananipenda[/h] Started by belie, 23rd September 2014 14:15
[h=3]Nahisi bado nampenda[/h] Started by belie, 22nd September 2014 14:40
![]()
![]()