Nalia nikimaliza kufanya mapenzi

Nalia nikimaliza kufanya mapenzi

its exist mine unajikuta unajiuliza maswali mengi,... wengi huwa tunawaza kanichezea au atanionaje ? kuna wengine usiku hatulali nahisi nimawazo ukikumbuka unajuta hasa kwa nini kanifanya ... unatamani urudishe nyuma huwezi .. its normal

Hii ya kujuta na kulia na kuwaza kama umechezewa ni concept ngeni sana kwangu. Sielewi! Ni kwamb ou were coerced into sexa ama ulisex uki expect mengi ama majuto na kilio hutokana na nini.

From my understanding and experience sex is meant to be enjoyable and safe between two equal parties.
 
unalia au unatoa machozi? kwa nini baada ya kubanjuliwa na sio wakati wa kubanjuliwa? Sleeping allowance huwa unapewa baada ya tendo au kabla?

kwani kutoa machozi kunaitwaje? sijamaanisha kulia kwa miguno ya utamu, kulia kwa kutoa machozi kabisa, na si kwamba naumia ndo nilie, no! machozi yanakuja tu yenyewe....
 
kwani kutoa machozi kunaitwaje? sijamaanisha kulia kwa miguno ya utamu, kulia kwa kutoa machozi kabisa, na si kwamba naumia ndo nilie, no! machozi yanakuja tu yenyewe....

hamna kitu nainjoi kama kubembeleza mrembo anaelia kama wewe belie sasa sijui.....
 
Last edited by a moderator:
ohooo ujue ndo baba watoto huyo hahaha mimi sina tatizo kama hilo na sijawahi kusikia kwa kweli pole
hahahahhahah..... basi umwambie awe anafikiria kwanza kabla ya ku comment, thx mwaya
 
AFADHALI YA WEWE, HIYO NI NORMAL, KUNA WANAUME KILA AKI-JACULATE ANATOA NA KIPANDE KIGUMU CHA MAVI, yeye anajisikia amani sana.
 
AFADHALI YA WEWE, HIYO NI NORMAL, KUNA WANAUME KILA AKI-JACULATE ANATOA NA KIPANDE KIGUMU CHA MAVI, yeye anajisikia amani sana.

mweh! umejuaje au ni wew? huyo inabidi awe anafanyia chooni.... tena kama hana choo cha kukaa anunue ili asipate tabu, akiwa anataka kumaliza anakaa tu pale then gal anakaa juu yake anadabodisha.... hahahhhaah mbele na nyuma
 
Habari zenu wapendwa.

Mwenzenu nina tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.

.....

Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend (z)wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?

Ushauri jamani.

Yaelekea hujatulia..."tatizo huisha nikishamzoea"...Unao wangapi?
 
Habari zenu wapendwa.

Mwenzenu nina tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.

Yaani najikuta nalia haswa kama nimepatwa na msiba. Tena akinikuna vizuri ndo nalia na kwikwi kabisa tukishamaliza tendo.

Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?

Ushauri jamani.

Dawa yake ndogo tu: Acha kubadilisha boyfriends mara kwa mara. Ukilia mara moja ndani ya miaka kama mitatu sioni ubaya wake.
 
Unalia yaani machozi kabisa au?
Ni unakua unajutia ulichofanya?

Tafuta mume
hihi ni mwana mume ndo anatafuta mke au mwanamke ndo anae tafuta mume?....hapa nahitaji ufafanuzi zaidi mkuu hivi ni yupi mwenye jukumu la kumtafuta mwingine??
 
...kama kidume najisikia waaaah!!!
That's a sign of banging the door of next level!
 
kwanza huwa sipendi attention.. huwa sipangi kwenda kufanya mapenzi, hiyo hali inatokeaga tu automatically nikiwa kwake au kwangu, ndo tunajikuta kila mtu anahitaji raha.... sijawahi hata siku moja kupanga kufanya mapenzi.... never!! eti miss chagga we unapangaga?? hahahaahah

Kwaiyo mnapokuwa pamoja na mkajikuta wote mnahamu ya kupeana raha je,huwa hauwazi kuhusu tatizo lako hilo au ukimaliza tu ndiyo unajikuta unaanza kulia?maana wengine tatizo lao hulia sauti za wanyama wapofanya mapenzi ila wanakuwa hawajitambu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom