its exist mine unajikuta unajiuliza maswali mengi,... wengi huwa tunawaza kanichezea au atanionaje ? kuna wengine usiku hatulali nahisi nimawazo ukikumbuka unajuta hasa kwa nini kanifanya ... unatamani urudishe nyuma huwezi .. its normal
thread za belie ZOTE zinazazungumzia kitu kile kile......
unalia au unatoa machozi? kwa nini baada ya kubanjuliwa na sio wakati wa kubanjuliwa? Sleeping allowance huwa unapewa baada ya tendo au kabla?
sasa wakikutana anaeunguruma na anaelia patakuwa hapatoshi humo chumbani!
kwani kutoa machozi kunaitwaje? sijamaanisha kulia kwa miguno ya utamu, kulia kwa kutoa machozi kabisa, na si kwamba naumia ndo nilie, no! machozi yanakuja tu yenyewe....
AFADHALI YA WEWE, HIYO NI NORMAL, KUNA WANAUME KILA AKI-JACULATE ANATOA NA KIPANDE KIGUMU CHA MAVI, yeye anajisikia amani sana.
Habari zenu wapendwa.
Mwenzenu nina tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.
.....
Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend (z)wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?
Ushauri jamani.
Habari zenu wapendwa.
Mwenzenu nina tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.
Yaani najikuta nalia haswa kama nimepatwa na msiba. Tena akinikuna vizuri ndo nalia na kwikwi kabisa tukishamaliza tendo.
Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?
Ushauri jamani.
hihi ni mwana mume ndo anatafuta mke au mwanamke ndo anae tafuta mume?....hapa nahitaji ufafanuzi zaidi mkuu hivi ni yupi mwenye jukumu la kumtafuta mwingine??Unalia yaani machozi kabisa au?
Ni unakua unajutia ulichofanya?
Tafuta mume
kwanza huwa sipendi attention.. huwa sipangi kwenda kufanya mapenzi, hiyo hali inatokeaga tu automatically nikiwa kwake au kwangu, ndo tunajikuta kila mtu anahitaji raha.... sijawahi hata siku moja kupanga kufanya mapenzi.... never!! eti miss chagga we unapangaga?? hahahaahah