Nalia nikimaliza kufanya mapenzi

Nalia nikimaliza kufanya mapenzi

Unalia yaani machozi kabisa au?
Ni unakua unajutia ulichofanya?

Tafuta mume
 
ni kitu cha kawaida hicho kuna mawili hapo

,.....analia kwa furah ya kupta new guy na kukupa gegedo lililokukuna vizur unalilia utamu

,......unakuwa na mawazo ndni ya kichwa huyu nae kaona tena umbo lngu naked litaonwa na wangapi hadi ndoa....also unaogopa ishu za kuachwa tena na penzi ushatoa uuuuuupsi
 
mmmm Dunia inamaajabu yake tangu nizaliwa ndio kwanza leo nisikie hayo,nikulize mrembo hua unafikiria nini baada ya hayo mambo? kwani huwi karibu na mpenzi wako baada ya kula raha yani kuku hug au kwenda kukoga nae au kupumzika nae ? na una miaka mingapi?
hayo yote nafanya, hunikumbatia kumbato zuri tu, na wakati huo sasa ndo machozi yanaponitoka bila sababu, huwa najitahidi asijue kama nalia coz akishaanza kunibembeleza ndo yanazidi kumwagika na kwikwi juu! na nashindwa kujizua kabisa, mpaka aniache kwa masaa kadhaa ndo nakuwa normal....

so sipendi hali hii coz hata ningekua nafanyiwa mimi nisingejisikia vizuri coz hata akiniuliza nalia nini sina cha kumjibu! umri wangu ni kati ya 20-25
 
ni kitu cha kawaida hicho kuna mawili hapo

,.....analia kwa furah ya kupta new guy na kukupa gegedo lililokukuna vizur unalilia utamu

,......unakuwa na mawazo ndni ya kichwa huyu nae kaona tena umbo lngu naked litaonwa na wangapi hadi ndoa....also unaogopa ishu za kuachwa tena na penzi ushatoa uuuuuupsi

yah well said ... hujambo ICHANA miss u
 
Last edited by a moderator:
hayo yote nafanya, hunikumbatia kumbato zuri tu, na wakati huo sasa ndo machozi yanaponitoka bila sababu, huwa najitahidi asijue kama nalia coz akishaanza kunibembeleza ndo yanazidi kumwagika na kwikwi juu! na nashindwa kujizua kabisa, mpaka aniache kwa masaa kadhaa ndo nakuwa normal....

so sipendi hali hii coz hata ningekua nafanyiwa mimi nisingejisikia vizuri coz hata akiniuliza nalia nini sina cha kumjibu! umri wangu ni kati ya 20-25

we ni wa kupigwa makofi... utanyamaza tu!!!
 
Habari zenu wapendwa.

Mwenzenu nna tatizo ambalo mpaka leo sijajua linasababishwa na nini! Kwa kifupi ni kwamba nikifanya mapenzi kwa mara ya kwanza na mtu, huwa nikimaliza tendo nalia sana, sijajua ni kwanini haswa.

Yaani najikuta nalia haswa kama nimepatwa na msiba. Tena akinikuna vizuri ndo nalia na kwikwi kabisa tukishamaliza tendo.

Tatizo hili lilinianza toka nilipo bikiriwa na huisha nikishamzoea huyo mpenzi wangu, embu naombeni ushauri nifanyeje ili nisilie? maana sometimes boyfriend wangu anaweza akawa anakwazika bila mimi kujua. Na je does it exist to another woman? or ni mimi tu?

Ushauri jamani.
Mkuu b,
nunua kitu chaitwa kohul yapatikana K'koo utumie once before na once after !! yote yataisha na kubaki ukicheka.......!
 
Hilo ni jini mahaba ndio linakuliza nenda kwenye maombi
Hamna mwanadamu mungu kamumba akiliwa alie Nooooo......
 
kwan siku hizi bado kuna kuombana!!! nkikupa chupa ya red wine tu, ukiimaliza utaniachia mwenyewe....

ha ha ha inategemea na ntu na ntu mkuu wengine mpaka zile zenye 40%alc mkuu ndiyo utatubeba tena kama maji amna kama yapo forget
 
Back
Top Bottom