Nakusudia kumshtaki baba yangu

Nakusudia kumshtaki baba yangu

Sio kweli ule uzi nimetoka kuusoma mda huu una miezi 10 tu tangu uandikwe acha kudanganya na hauko hivi japo jamaa anaweza kuwa ni huyu kwa asilimia nyingi na hapa anaonesha kukata tamaa na kwenye uzi wa mwanzo anaonesha kutafuta suluhu nadhani mambo yameshindikana

Sent using Jamii Forums mobile app


Ohhh basi sawa!mie nimehis wa muda sana!
 
Hakika kaka, Mimi ni mchepukaji sikatai lakini linapokuja suala la familia yangu na wazazi sina mjadala na kweli wazazi wangu sio changamoto.

Lakini nina shuhuda za marafiki zangu wale wazazi wao hawapaswi kuwa wazazi ndani ya hii dunia

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu huwa tunachepuka lakini ndio hivyo hawa mademu wa kibongo changamoto sana kila demu sasa hivi mchawi, ukikaa vibaya unapigwa mambo yetu...

Nikumuomba Mungu sana maana ndio vile tena kuchepuka hatuachi, ilakila mtu anapenda familia yake Mkuu na hakuna anayependa kutelekeza shida ni hivi vimeo vyenyewe nawe kumbuka vinapenda na vikikupenda ndio hivyo tena wako tayari hata kuua mkeo..

Kuna nyakati pia wake zetu ndio hututoa kwenye reli kwa kututreat vibaya na kutunyima furaha tunapokuwa majumbani kwetu hivyo Mwanaume hukosa amani na kuanza kutanga tanga duniani huko watu walikotega ndoano zao kwa wale wote wanaotafuta pumziko tamu...

Ndoa za bahati mbaya pia huleta changamoto za watu kuishi nyumba moto halafu mmoja havutiwi na mwenziwe maana ulioa kwa bahati mbaya either kwa kutegeshewa mimba, shinikizo la wazee, au uchawi...
 
Sijaona kosa la baba’ko hapo, umeandika mengi ila ukahitimisha kinachokuuma ni 16m tu... itakuwa umeanza kufirisika hivyo unatafuta wa kumbebesha lawama.

Tafuta hela nyingi bwashee, ukizipata tafuta zingine... mwache mzee ale mafao usisahau keshakwambia umlipe gharama za matunzo.

Cheers
Mkuu unazingua
 
Kwahiyo huyo mzee wake hajui kama wizi ni mbaya hadi muda huu? Au kwa vile kamuita mpumbavu nawe unaona mzee hajitambui yaani hajui jema na baya.
Nasema ivi huyu baba sio yeye karogwa na huyo kimada kwa mantiki hiyo na kujua chanzo cha tatizo thread poster angesamehe tu by the way, masikio hayazidi kichwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo huna laana, mpeleke mahakamani! Huyo baba hafai. Usikubali kupoteza milioni 16
Sasa atalipa na pesa ipi hiyo mil 16? Sahau au peleka kesi likae huko mahaakamani kumshtua tu. USHAURI TU MAANA TUNA WATOTO WANAOUZA MALI NA KUIBAXHATUWAFUNGI WALAXKUSHITAKI. Ni wengi wa namna hiyo hasa hawa wanaokaa tu kungoja wazazi wafe bila kujishughulisha na kazi yoyote
 
RAYAN THE DON,
Amshtaki huyo aliyenunua na kujenga! Ni tapeli!!! Yeye ndio ale sahani moja na aliyemuuzia.
Haiingii akilini mtu unenue ardhi yenye hati kwa mtu asiye na hati.

All in all: Kuna madingi ni pimbi ile mbaya! Yaani wanatia aibu mbaya! Hasa awe mzinzi au chapombe unaweza kutamani ubadili jina lake.
 
Manzile, Mimi nime experience tatizo kama lako I can imagine your feelings nakushauri kaa naye mbali ikiwezekana vunja kabisa mawasiliano naye lakini usifanye hivyo unavyotaka kufanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kidambinya,
Mkuu ushauri wako nauterm as a best advice ever. Wa kumwamini ni Mungu peke yake. Wazazi wengine ni zaidi ya hovyo. Watakuthamini ukiwa na mali, ukifirisika utajuta.

Hata kusomesha wadogo zako nao ni upuuzi tu. Unaweza kuwasomesha, siku ukifulia hutapata msaada wowote kutoka kwao. Bora kumwamini mkeo ambaye anajua umelalaje na kuamkaje kuliko mzazi au ndugu.
 
Huyo baba muhuni ndugu.
Achana naye fanya yako.
Kumshtaki ni kujizolea laana tu asije piga kikojoleo chake chini ukafa bure, mwache hela inatafutwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzazi wa hivo Mimi siwezi kuwa na mawasiliano nae yaani huyo ni Kama paka na panya kwangu, nakushauri somesha wadogo zako na pambana nao mpaka wajitegemee ukiwaacha utakuja kuwa na mzigo mkubwa sana huko mbeleni.

Mimi michepuko huwa nahit and run siweki kibanda ni hatari sana, nimeshuhudia rafiki yangu wa damu tunafanya nae kazi hapa TPA nae Sasa kashatelekeza familia yake mke wake na mtoto wanauza ndizi barabarani ili wapate kula, yeye kaoa jikegume la huko Njombe kubwa Lina watoto wakubwa wako chuo halafu jamaa kawa MJINGA ukimshauri arudiane na familia yake mnakubaliana vizuri lakini akirudi nyumbani anamuelezea hilo jike lake halafu bila aibu linakufata kukuchamba.

Nililipiga bit kulizabua makofi na urafiki na huyu jamaa uliisha, ukikutana na mke wake akianza kukuelezea hakika ni huzuni alifurahia mume wake alipopata kazi bandari kumbe hakujua ndio tiketi yake kuingia motoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom