Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

duuuuuuuu , hii yote ni wivu ndo unakusumbua wewe hakuna kingine. Anyway fananisha kwa kua sasa mimi na yeye ni mwili mmoja
Mkuu bora usinge jibu comment
Ya Heaven on Earth maana umejisahau na alicho kisema umekirudia tena na usinge jibu ungenipoteza maboya. Kuna tone umetumia hapo umejitambulisha kabisa.

Mkuu hivi ndoa mmeshafunga kabisa?Daaaa mkuu mbona dear wako kapotea gafla?

Mkuu kuwa makini na uandishi!
Samahini lakini!
 
Last edited by a moderator:
leo mmetongozwa
kesho mmelalwa
kesho kutwa mmefiwa
jana mlitaka kuanzisha saccoss ya wapweke
juzi kati mahb sijui kufanyaje!
kheeeeee na mnawatoa wapi wanaume wasiowakunja vizuri mkawa na akili hata za vicoba?

Hahahaaaaa vijana wanajiSWITCH ON na AIRTEL!!
 
Mara kuogelea mara kuimba kumbe huku ndio ulikua unaelekea .....

Hongera lakini

Wengine bado ..........!!
 
Back
Top Bottom