Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

shauri zao wanaojifake, mimi na my love lara 1 tuko deep in love.

naomba The Boss na mpwa wangu Olesaidumu muongoze huu msafara wa kwenda kumtambulisha my love kwa wazazi wangu, na ana bahati ya pekee wote bado wako hai

hahaahaahaaaa vipi mkeo yuko wapi? Mbona sim zangu hapokei tena?
 
Last edited by a moderator:
shauri zao wanaojifake, mimi na my love lara 1 tuko deep in love.

naomba The Boss na mpwa wangu Olesaidumu muongoze huu msafara wa kwenda kumtambulisha my love kwa wazazi wangu, na ana bahati ya pekee wote bado wako hai

Awwwwwww! Baby you are so sweet!
 
Du,wewe mama umezidi uongo,juzi ulikuja na uzi unatafuta mwanaume ambaye single parent.Leo jf imekupatia mume, sijui hiyo ndoa imefungwa lini au ndo furahisha baraza.
 
lara 1 mbaya sana, kqwachuuza wenzie chuna buzi, afu yeye anailewa.

Sasa wametaharuki.

yote hii ni wewe!
mfyuuuu zako hebu wacha wenzio wapumue!
roho zinawatoka guts za kufikisha page 480 hawana .basi ndo vurugu tu humu!
 
Last edited by a moderator:
unaweza kuta huyo mama fay ndio arovera sijui mwanaume gani anajibu kimipasho hivyo

duuuuuuuu , hii yote ni wivu ndo unakusumbua wewe hakuna kingine. Anyway fananisha kwa kua sasa mimi na yeye ni mwili mmoja
 
Hebu nikumbushe manake kisusio na MG za wknd hadi mchana huwa zinaharibu akili yangu. Huyu ndo alifiwa na mwanaume in 6 months, akawa anashindwa kumsahau, akaanzisha sredi ya kutafuta bwana, na sasa amekuwa mume aka hubby?

where the heck is this watu8 boy when i need him?

ni huyu Hutu
alisema yuko kwenye penzi na bongo movie
akasema anatafuta mwanaume anaejua kuimba
akaja na anatafuta kijana amfundishe kuogelea
achilia mbali ile ya kutafuta bwana wa kumt.ia jlw
 
Last edited by a moderator:
lara 1 mbaya sana, kqwachuuza wenzie chuna buzi, afu yeye anailewa.

Sasa wametaharuki.

afu wewe si umeambiwa uweke picha yako UMUKAGAME aone kama kweli wewe maarufu sasa kilichokuleta huku ni nini?
 
Last edited by a moderator:
ni huyu Hutu
alisema yuko kwenye penzi na bongo movie
akasema anatafuta mwanaume anaejua kuimba
akaja na anatafuta kijana amfundishe kuogelea
achilia mbali ile ya kutafuta bwana wa kumt.ia jlw

wivu utakuua hamjui kama mimi na yeye sasa ni mwili mmoja??
 
Back
Top Bottom