Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

Mhhh? juzi tu ulikuja hapa na lijiuzi kuwa bado unamkumbuka marehemu mpenzi wako, halafu na yule mbongo movie vipi?
Sasa huyu wa Jf kapatikana lini?

Aaaah kumbe hayanihusu.....ngoja mengine nimuachie baba na mama.....!

Hahaha daaa lakini anasema kapata wote tuseme hongera.
 
Du,wewe mama umezidi uongo,juzi ulikuja na uzi unatafuta mwanaume ambaye single parent.Leo jf imekupatia mume, sijui hiyo ndoa imefungwa lini au ndo furahisha baraza.
Hahaha hebu/punguzeni kuwa na
Kumbukumbu daaaa! Kwa hiyo ana jisingizia?
 
Lol!!! haya hongera zako huyo huby akusaidie kumsahau marehemu
 
Mbona mtoa mada hachangii pamoja na Mwenza wake?!

Nahisi hapa kuna shooting!

Samahani lakini!
 
Habari!,..

Nina Furaha Sana sanaaa na Naishukuru kipenzi changu Jf!!.Imenipatia Mme Kipenzi,laazizi anaejua nini thamani ya mwanamke!!.anaejua kujali na kupenda kweli...najisikia kupendwa,najiona mwenye bahati sana.

trust me,jf kuna wanaume wazuri sana waojua kupenda na kuwa na relationshp nzuri!!.

to yo >hubby najua umepasoma hapa,nataka ujue i love u more than yesterday..ur the reason i smile everyday,ur special hubby,love me more nizidi kupagawa!!.

mahaba ninyongeee mieeee!!,nikafie mbali kwenye kifua cha @_____ __,love u nyang'anyang'a!!.

mnaotafuta hapa wapenzi,msijali mtapata tu,na mlopata hongereni! lolz.....

hahahah! wapi team free P,,,mwenzenu huyu hapa
 
Nipo dear..
Hebu nipe muhtasari..

Mweee, yani wakati wewe unahangaika kutafuta muheshimiwa first class...wenzio wanajipatia ma hubby humu humu...!

Basi huyo hubby ingawa hajatajwa jina...alivyoibuka sasa....full madedication, full makopa...
Ndo nikawaita wambea wenzangu...!
 
leo mmetongozwa
kesho mmelalwa
kesho kutwa mmefiwa
jana mlitaka kuanzisha saccoss ya wapweke
juzi kati mahb sijui kufanyaje!
kheeeeee na mnawatoa wapi wanaume wasiowakunja vizuri mkawa na akili hata za vicoba?

mmmh....
 
Mweee, yani wakati wewe unahangaika kutafuta muheshimiwa first class...wenzio wanajipatia ma hubby humu humu...!

Basi huyo hubby ingawa hajatajwa jina...alivyoibuka sasa....full madedication, full makopa...
Ndo nikawaita wambea wenzangu...!

Heheiyaaa hapana chezea maloveeeee.....mi nadeal na first class people tu no dedication za tungo za watu...akinipiga dedication ujue ni Verosa na mashopping ya hatari....hiyo inaitwa "welcome to my world"
 
Back
Top Bottom