Vipi wale uvccm walioongeza ubeti wa Magufuli kwenye wimbo wa taifa? Hili siyo kosa?kosa kubwa sana hilo
kaangalie sheria dogo
Vipi wale uvccm walioongeza ubeti wa Magufuli kwenye wimbo wa taifa? Hili siyo kosa?kosa kubwa sana hilo
kaangalie sheria dogo
Upumbavu tu,hiyo ni case ya kumnyima mtu dhamana?Wapumbavu wakubwa!kosa kubwa sana hilo
kaangalie sheria dogo
Ukishaongeza ubeti wa Magufuli automatically unakua sio tena wimbo wa taifa.Vipi wale uvccm walioongeza ubeti wa Magufuli kwenye wimbo wa taifa? Hili siyo kosa?
Ni kwa UTASHI. Kisheria ndiyo maana jaji wa high court amesema wapewe dhamana.Inategemea na mazingira. Zingine kama za uchaguzi au defamation zimaweza kuwa baina ya wanasiasa kwa wanasiasa.
Hii ya hawa vijana wa Bavicha kama walipandisha bendera na kuimba wimbo Chadema,Jaduong msipotoshe huenda wakaozea huko.
Wimbo wa taifa unatumika ktk matukio mbalimbali. Mfano kqbla Mwakinyo hajapanda jukwaani wimbo wa taifa unapigwa. Timu ya taifa ikitaka kucheza wimbo wa taifa unapigwa.Ukishaongeza ubeti wa Magufuli automatically unakua sio tena wimbo wa taifa.
Wimbo wa taifa unajulikana na hauna ubeti wa Magufuli.
Leo DPP Biswalo Mganga kazuia dhamana yaoduh
Hii kesi haijaisha kwani tu? si walipewa dhamana Dodoma?
QengayLakini si unaona ilisaidia kumtoa kuota mdogo za kishetani?
Toka ametoka huko ile ndoto ya ibirisi ikamkimbia na sasa huko huru.😁😁😁😁
Kila ubaya utalipwaClouds Radio kila SAA moja asubuhi wanapiga wimbo wa Taifa wanapotaka kusoma Taarifa ya Habari
umeona hati ya mashitaka au unatokwa na povu kama kawaida yenu tanapaUpumbavu tu,hiyo ni case ya kumnyima mtu dhamana?Wapumbavu wakubwa!
Hati hizo za kipuuzi za Biswalo Mganga ?umeona hati ya mashitaka au unatokwa na povu kama kawaida yenu tanapa
ziweke basi tuzione?Hati hizo za kipuuzi za Biswalo Mganga ?
Madaraka maelekezo Biswalo ni kiongozi muugwana sana, sina hakika mikono yake anahusika kwa hili. Mifumo na taasis zetu zinapaswa kuwa huru, haya mambo ya teuzi mtihani sana.Leo DPP Biswalo Mganga kazuia dhamana yao
Haiwezekani vijana hawa wasoteshwe jela kwa makosa yenye dhamana kwa sababu ya matakwa ya Biswalo Mganga na waliomtuma , hawa vijana hawana kesi yoyote ya maana ya kufanyiwa unyama huo.
Tundu Lissu tafadhari sana ingilia kati jambo hili wewe mwenyewe binafsi ili limalizike , unyama huu haukubaliki
Natanguliza Shukrani .
Upumbav tu,haya makesi ya kisiasa ni ya kijinga na yasiyokubalika na jamii yoyote ya leo!Sijui kwa nini sinaga huruma na wahalifu.
Hukuona msajili alivyowashukia CDM kwa kuongeza maneno kwenye wimbo wa taifa na kusema Mungu ibariki CHADEMA?Ukishaongeza ubeti wa Magufuli automatically unakua sio tena wimbo wa taifa.
Wimbo wa taifa unajulikana na hauna ubeti wa Magufuli.
Sawa, lakini tujiulize Kwenye wimbo wa taifa kuna ubeti wenye maneno "Mungu ibariki chadema "? Hayapo sasa utasemaje ni wimbo wa taifaHukuona msajili alivyowashukia CDM kwa kuongeza maneno kwenye wimbo wa taifa na kusema Mungu ibariki CHADEMA?
Muulize msajili aliyewaandikia CDM barua kuwaonya!Sawa, lakini tujiulize Kwenye wimbo wa taifa kuna ubeti wenye maneno "Mungu ibariki chadema "? Hayapo sasa utasemaje ni wimbo wa taifa