Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Jamani Mimi Hili suala limeniumiza sana , watu kuonewa hivihivi bila kosa lolote , kwa yeyote yule mwenye jina la hakimu mwenye kesi hiyo happy Singida naomba niwekeeni hapa na picha yake , niende kidyamsitu kwa Babu uonezi umezidi , huyo hakimu na nani sijui nawapa wiki wawe wamewaachia vinginevyo naenda kwa Bibi pichani hapa chini , Kama hawana familia shauri Yao .
Haiwezekani vijana hawa wasoteshwe jela kwa makosa yenye dhamana kwa sababu ya matakwa ya Biswalo Mganga na waliomtuma , hawa vijana hawana kesi yoyote ya maana ya kufanyiwa unyama huo.
Tundu Lissu tafadhari sana ingilia kati jambo hili wewe mwenyewe binafsi ili limalizike , unyama huu haukubaliki
Natanguliza Shukrani .