EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,524
Hivi CLOUDS waoutumia kwenye Taarifa yao ya habari wako sahihi???kuimba wimbo wa Taifa huku wakipandisha bendera ya chadema , yaani ni shitaka la kipumbavu sijawahi ona
Hivi CLOUDS waoutumia kwenye Taarifa yao ya habari wako sahihi???kuimba wimbo wa Taifa huku wakipandisha bendera ya chadema , yaani ni shitaka la kipumbavu sijawahi ona
huwa sitazami hiyo channelHivi CLOUDS waoutumia kwenye Taarifa yao ya habari wako sahihi???
Labda awe rais wa mchezo wa pool table.Lissu ni Rais wa nchi hii baada ya uchaguzi wa 28 october
John wakati mwingine hua una upuuzi sana. High court imerul hao vijana warudishwe Singida wapewe dhamana. Wewe bila akili unailaumu Cdm nini ?!.Kwanini msimwambie Kibatala?
ACT wazalendo wamemtoa Kubenea nyie mnambwelambwela!
Yani mgombea Urais aache kampeni wakati kina Kibatala wapo? Tusichoshane.View attachment 1566393
Haiwezekani vijana hawa wasoteshwe jela kwa makosa yenye dhamana kwa sababu ya matakwa ya Biswalo Mganga na waliomtuma , hawa vijana hawana kesi yoyote ya maana ya kufanyiwa unyama huo.
Tundu Lissu tafadhari sana ingilia kati jambo hili wewe mwenyewe binafsi ili limalizike , unyama huu haukubaliki
Natanguliza Shukrani .
Sasa mnataka TAL aache ratiba ya kampeni akafanye kazi ya uwakili kwa bavicha?John wakati mwingine hua una upuuzi sana. High court imerul hao vijana warudishwe Singida wapewe dhamana. Wewe bila akili unailaumu Cdm nini ?!.
Haya mambo yanakera sema yapo kwa watu unaodhani ni halali yao kuteswa .
Lakini Kubatala si ndio jukumu lake?John wakati mwingine hua una upuuzi sana. High court imerul hao vijana warudishwe Singida wapewe dhamana. Wewe bila akili unailaumu Cdm nini ?!.
Haya mambo yanakera sema yapo kwa watu unaodhani ni halali yao kuteswa .
Chagu . Hujui nini ?!Kama kweli ni kosa lenye dhamana kwa nini hawapewi dhamana. Ni kosa gani wanaloshitakiwa nalo. Hatupendi watu kuonewa hapa Tanzania.
Kibatala atawatoa bila idhini ya mahakama !!Lakini Kubatala si ndio jukumu lake?
Jaduong ndio maana nimeandika hatutaki watu waonewe. Kama High Court imesema wapewe dhamana wakili wao anangojea nini kukahakikisha wanatolewa!Chagu . Hujui nini ?!
Hao vijana majuzi tu , kama wiki mbili High court imerul wapewe dhamana. Sasa mbona tena danadana ?!.
Usulotaka kutendewa usimtendee mwenzio
Kibatala atawatoa bila idhini ya mahakama !!
Chagu. Kwetu hapa mambo bado yanaenda kwa utashi wa kisiasa na siyo kwa mujibu wa sheria na katibaJaduong ndio maana nimeandika hatutaki watu waonewe. Kama High Court imesema wapewe dhamana wakili wao anangojea nini kukahakikisha wanatolewa!
Ahaaa. Mbona Saed Kubenea amepata dhamana? Hakuna wa kupinga amri ya mahakama kuu.Chagu. Kwetu hapa mambo bado yanaenda kwa utashi wa kisiasa na siyo kwa mujibu wa sheria na katiba
Kumbuka Kubenea hakushtakiwa ki siasa tofauti na hao vijanaAhaaa. Mbona Saed Kubenea amepata dhamana? Hakuna wa kupinga amri ya mahakama kuu.
Kwani kosa la jinai linahusiana vipi na siasa? Wao wamefanya kosa dhidi ya Jamhuri na Kubenea amefanya kosa dhidi ya Jamhuri.Kumbuka Kubenea hakushtakiwa ki siasa tofauti na hao vijana
Kwani kesi za kisiasa ni makosa dhidi ya nani ?Kwani kosa la jinai linahusiana vipi na siasa? Wao wamefanya kosa dhidi ya Jamhuri na Kubenea amefanya kosa dhidi ya Jamhuri.
Dawa ya kumalizia unyama huu ni kumuondoa mnyarwanda ikulu tumuweke mtanzania mwenzetuView attachment 1566393
Haiwezekani vijana hawa wasoteshwe jela kwa makosa yenye dhamana kwa sababu ya matakwa ya Biswalo Mganga na waliomtuma , hawa vijana hawana kesi yoyote ya maana ya kufanyiwa unyama huo.
Tundu Lissu tafadhari sana ingilia kati jambo hili wewe mwenyewe binafsi ili limalizike , unyama huu haukubaliki
Natanguliza Shukrani .
Inategemea na mazingira. Zingine kama za uchaguzi au defamation zimaweza kuwa baina ya wanasiasa kwa wanasiasa.Kwani kesi za kisiasa ni makosa dhidi ya nani ?
View attachment 1566393
Haiwezekani vijana hawa wasoteshwe jela kwa makosa yenye dhamana kwa sababu ya matakwa ya Biswalo Mganga na waliomtuma , hawa vijana hawana kesi yoyote ya maana ya kufanyiwa unyama huo.
Tundu Lissu tafadhari sana ingilia kati jambo hili wewe mwenyewe binafsi ili limalizike , unyama huu haukubaliki
Natanguliza Shukrani .