Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Eti unasema nini wewe Mshana!? Nyumba ndogo ni msingi imara wa ndoa nyingi!? Acha kupotosha wanaume wenzio hivi hiyo michepuko ni misingi au mipasuko!? Hiyo ndio chanzo cha migogoro isiyokwisha kwenye familia nyingi maana moyo ni mmoja hauna nguvu ya kupenda kuwili sawa sawia, wanaume wengi mkishakua na nyumba ndogo dharau kwa wake zenu huzidi Mara dufu. Ogopeni magonjwa hivi huwa mnajiulizaga kipindi unalala kwa mkeo yule hawala yako huwa analala na nani? Sasa hivi kuna gonjwa lisilokingwa na kinga ya condom mnatuletea homa za Ini ndani ya nyumba,tulieni wapuuz nyie

Sent using Jamii Forums mobile app

LadyAJ, kwa lugha uliyotumia, hapo juu, ni dhahiri wewe ni mtata. Umejaza pekepeke na shutuma tu, na siyo ushauri.

Hakuna ugonjwa unaoua wanaume sana, kimawazo na kimwili, kama hiyo lugha uliyotumia kuwasilisha hisia zako.

Mwanaume anahitaji kuheshimiwa na kubembelezwa hata kama kafanya kosa dhahiri. Pekepeke na shutuma za mwanamke, kama zako, ni adui mkubwa wa mahusiano katika ndoa.

mshana jr, kawasilisha hoja mwafaka kwa upande wa akina baba, akiwatahadharisha matokeo hasi ya nyumba ndogo. Kwa falsafa, anawahasa akina mama ndoani, kuwa makini na ndoa zao.

LadyAJ, mpira uko uwanjani kwako.
 
LadyAJ, kwa lugha uliyotumia, hapo juu, ni dhahiri wewe ni mtata. Umejaza pekepeke na shutuma tu, na siyo ushauri.

Hakuna ugonjwa unaoua wanaume sana, kimawazo na kimwili, kama hiyo lugha uliyotumia kuwasilisha hisia zako.

Mwanaume anahitaji kuheshimiwa na kubembelezwa hata kama kafanya kosa dhahiri. Pekepeke na shutuma za mwanamke, kama zako, ni adui mkubwa wa mahusiano katika ndoa.

mshana jr, kawasilisha hoja mwafaka kwa upande wa akina baba, akiwatahadharisha matokeo hasi ya nyumba ndogo. Kwa falsafa, anawahasa akina mama ndoani, kuwa makini na ndoa zao.

LadyAJ, mpira uko uwanjani kwako.
Mtanisamehe kwa kweli ila watu mpambane na hali zenu msitikise yangu,ukiniona mtata or wherever mi sijali ila nahakikisha simpi shetani nafasi ya kutikisa maisha yetu, ukiuita utata huo ni juu yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada ameangalia madhara ya hizo nyumba kweli? Watoto wengi wa mitaani ni matokeo ya hizi nyumba, "yet muhimu sana".

Inakuwaje unasema nyumba ndogo ni muhimu, kwa maana wanaume ndivyo tulivyoumbwa; sasa hapo ndoa inakuwa ni kwa ajili ya nini?

Tuache dini na mambo mengine, kama ni vizuri kuwa free na idadi yoyote ya wanawake, kwanini sasa ndoa zifungwe?

Kwa maana rahisi, maamuzi ya busara zaidi ni ya kutoingia katika ndoa kabisa kama ndoa yenyewe haina maana.

Au tunafunga, ku-impress ndugu na jamaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Atakua hajakwelewa maana mwishowe umesema hata wakijitahidi vipi SIKIO HALIWEZI ZIDI KICHWA. Yani conclusion ime sum up kilakitu

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti unasema nini wewe Mshana!? Nyumba ndogo ni msingi imara wa ndoa nyingi!? Acha kupotosha wanaume wenzio hivi hiyo michepuko ni misingi au mipasuko!? Hiyo ndio chanzo cha migogoro isiyokwisha kwenye familia nyingi maana moyo ni mmoja hauna nguvu ya kupenda kuwili sawa sawia, wanaume wengi mkishakua na nyumba ndogo dharau kwa wake zenu huzidi Mara dufu. Ogopeni magonjwa hivi huwa mnajiulizaga kipindi unalala kwa mkeo yule hawala yako huwa analala na nani? Sasa hivi kuna gonjwa lisilokingwa na kinga ya condom mnatuletea homa za Ini ndani ya nyumba,tulieni wapuuz nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani ungekuwa unaongea afu nakuona live ....post umeandika kwa hisia sana
 
Hii habari ya nyumba ndogo huwa sipendi hata kukutana nayo kwani nizaidi ya boko haramu nikikumbuka mzee wetu alivyopoteza upendo wa kwanza kwa mama yetu (mke wake wa ndoa) na hata kusababisha kifo chake maumivu hujaa moyoni kwani tuliamini 100% nyumba ndogo ndo ilichangia kutowesha amani,furaha na upendo,mengi tuliyaona ikiwemo kuhamisha raslimali za familia na kupeleka huko aisee! huwa sipendi kusikia na sitakuja test hiyo kitu kamwe kwa mateso niliyo yaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeelewa kuwa kamwe sikio haliwez zidi kichwa

Nyumba ndogo ni ndogo tuu huwez kuwa mke halali bado ni mwizi tuu,

Mungu atupatie maarifa maana ndipo tunapo angamia hapo.

Huko kwingine katikati sijaelewa nilicho elewa kingine kuwa ni nyumba ndogo haziolewi
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]

In ua Presence Jesus is where I belong
 
Nimeelewa kuwa kamwe sikio haliwez zidi kichwa

Nyumba ndogo ni ndogo tuu huwez kuwa mke halali bado ni mwizi tuu,

Mungu atupatie maarifa maana ndipo tunapo angamia hapo.

Huko kwingine katikati sijaelewa nilicho elewa kingine kuwa ni nyumba ndogo haziolewi
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]

In ua Presence Jesus is where I belong
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakua hajakwelewa maana mwishowe umesema hata wakijitahidi vipi SIKIO HALIWEZI ZIDI KICHWA. Yani conclusion ime sum up kilakitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wengi walivyo soma first statement wakakata tama. Maana pia umesema "ukiingia huko UMEKWISHA KABISA, Utapekuliwa wallet, simu n.k. jamani musiwe wavivu kusoma au kosoma bila kutafsir. Maana ameanza vile kwa kuwasema wale ambao wanadai nyumba ndongo sinasaidia kuondoa stress lakini pamoja nahayo akatoa angalizo. Mshana hajawi ku support upuuzi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si mbaya kwakweli kuwa na nyumba ndogo kama ukiona shemeji hakutoshelezi mahitaji, japo kuna wengine wameingia huko kutokana na stress za ndoa na migogoro lakini wengine ni tamaa tu na kutoridhika na mmoja!
Nyumba ndogo zina utamu wake, lakini pia zina nguvu na ushawishi wa ajabu kabisa, kuna wengine wamenogewa kabisa na kuhamishia majeshi yote nyumba ndogo ama kuoa kabisa .....

POINT NO 1 "Jihadhari rafiki kuwa makini usije kuangukia huo mtego"... Utajuta majuto yote na hutapata wa kukusaidia"

POINT NO 2 "Ni nyumba ndogo chache zenye akili hekima na tafakuri! Anajua vema uwepo na umuhimu wa nyumba kubwa.. Hivyo hukusaidia kuijenga kwakuwa anatambua fika kule kukiharibika hata huku amani huwa ndogo"


POINT NO 3 "Kuna wenye bahati mbaya walinaswa kwenye nyumba ndogo za hivyo na kunogewa kabisa (sometimes madawa yakitumika), nyumba ndogo hizi zina nia ya kuharibu"

ama sometimes ni uchoyo tu na ubinafsi.... Kipindi uko kwake kwako umeaga uko semina uko kazini, uko safarini uko na washkaji nk nk, Anajua uongo wote uliokuwa ukidanganya......

POINT NO 4 "Leo hii unataliki mkeo halali wa ndoa na kwenda kuishi na bi mdogo... MY FRIEND UMEKWISHA.."

POIT NO 5 . *Utamdanganya nini mwizi? Utakuwa umejipeleka mwenyewe kifungoni kwenye gereza la kujitakia....*

Utapekuliwa wallet, utapekuliwa simu, utapekuliwa nguo! Utafuatiliwa kazini, utachaguliwa marafiki na utapangiwa muda wa kurudi nyumbani na hata muda wa kutoka weekend.

POINT NO 6 ... "Furaha yako itageuka fadhaa
Nikukumbushe tu rafiki cheza kwa step"

(NB : Nyumba ndogo nyie ndio msingi imara wa ndoa nyingi,.) CHOMBEZO LA MADA

POINT NO 7 "bebeni kwa weledi hili jukumu huku mkitambua fika kwamba SIKIO no SIKIO tuu kamwe haliwezi kuzidi KICHWA "


Sent using Jamii Forums mobile app



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana na wanawake wengi wamekengeuka, biashara yakuvumilia vibamia, nguvu ndogo, ukata, jogoo style 2 minutes off hawana. Mnafikiri wanawake wanatoshelezwa na kila kitu? Nikuchukuliana tu ila midume ni mibi afsi sana akikosa kitu anakitafuta huko. Na kina mama sahivi wameshtuka akikosa kitu kwako ila kipi mahali anajiridhisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu wanaume mnalishwaga uchafu bila hata kujijua

Hadi damu za period mnakula kwa kuchanganyiwa katika chakula ili mbaki huko kwa nyumba ndogo

Wanaume wengi wananaswa na madawa wengi wao

Kama mnabisha chukueni tu mfano mdogo, hivi vibao vya matangazo siku hzi mganga wa kienyeji mvuto wa mapenzi au kumvuta mpenzi

Kama hakuna wateja kwanini vimetapakaa ktk matangazo

" Mungu ameumba jambo jipya duniani, mwanamke atamlinda mwanamume" yeremia 31:22b

[emoji115] [emoji115] kwa maombi

Kwa hapa tu nilipo nimeshuhudia vingi, ila mwisho wao huwa mbaya pale mwanamke halali akisimama katika zamu yake na kulia na Mungu kwa maombi

Akikaa zamu ya ulinzi vizuri huwa wanapigwa na Mungu kisawa sawa halafu hiyo laana huwa inaenda kwa vizazi vyao pia.

Enyi wamama tusimame kwenye zamu vizuri Mungu huwa hakai kimya

" tusiwe wanawake wapumbavu wanao bomoa nyumba, tuwe werevu kama nyoka na busara kama hua"

Uhiii huyu Mungu ninaye mjua atakupa kitu unachoomba"

Wanawake ni jeshi kubwa, [emoji123] [emoji123] hao wanaume wakitukosea hata maombi yao yanazuiliwa kwa Mungu, kujibiwa kwao inategemea uhusiano alio nao na mkewe ndani

Bro umenipa hasira za kimbingu leo, [emoji41]

In ua Presence Jesus is where I belong
 
Naona wengi walivyo soma first statement wakakata tama. Maana pia umesema "ukiingia huko UMEKWISHA KABISA, Utapekuliwa wallet, simu n.k. jamani musiwe wavivu kusoma au kosoma bila kutafsir. Maana ameanza vile kwa kuwasema wale ambao wanadai nyumba ndongo sinasaidia kuondoa stress lakini pamoja nahayo akatoa angalizo. Mshana hajawi ku support upuuzi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Am humbled Nahirat

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu wanaume mnalishwaga uchafu bila hata kujijua

Hadi damu za period mnakula kwa kuchanganyiwa katika chakula ili mbaki huko kwa nyumba ndogo

Wanaume wengi wananaswa na madawa wengi wao

Kama mnabisha chukueni tu mfano mdogo, hivi vibao vya matangazo siku hzi mganga wa kienyeji mvuto wa mapenzi au kumvuta mpenzi

Kama hakuna wateja kwanini vimetapakaa ktk matangazo

" Mungu ameumba jambo jipya duniani, mwanamke atamlinda mwanamume" yeremia 31:22b

[emoji115] [emoji115] kwa maombi

Kwa hapa tu nilipo nimeshuhudia vingi, ila mwisho wao huwa mbaya pale mwanamke halali akisimama katika zamu yake na kulia na Mungu kwa maombi

Akikaa zamu ya ulinzi vizuri huwa wanapigwa na Mungu kisawa sawa halafu hiyo laana huwa inaenda kwa vizazi vyao pia.

Enyi wamama tusimame kwenye zamu vizuri Mungu huwa hakai kimya

" tusiwe wanawake wapumbavu wanao bomoa nyumba, tuwe werevu kama nyoka na busara kama hua"

Uhiii huyu Mungu ninaye mjua atakupa kitu unachoomba"

Wanawake ni jeshi kubwa, [emoji123] [emoji123] hao wanaume wakitukosea hata maombi yao yanazuiliwa kwa Mungu, kujibiwa kwao inategemea uhusiano alio nao na mkewe ndani

Bro umenipa hasira za kimbingu leo, [emoji41]

In ua Presence Jesus is where I belong



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom