Nakukemea Freeman Mbowe

Nakukemea Freeman Mbowe

Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.

Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.

Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.

Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Huna adabu..unahisi Mbowe ndiye aliyemshikilia Mdude? Lisu kashikiliwa na serikali kwani uliwahi kumsikia Samia akikemea popote?
 
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.

Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.

Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.

Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Ili akianza kusemasema, mseme anaitaka saccos yake?
Aligombea mkamkataa acheni apumzike kwani Lissu hajiwezi hadi Mbowe awe anasemasema?
 
Mwacheni mzee wa watu apumzike. Mnataka msaliti na kibaraka wa CCM afanye nini? Mmemuita kila majina leo mnataka neno kwake.
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.

Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.

Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.

Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
 
Kiongozi mstaafu unaona chama na viongozi wake wanashambuliwa kila kona halafu wewe unakaa kimya!. Hii ni roho mbaya na ukosefu wa uchungu kwa chama.
Huenda Mbowe anajipenda yeye zaidi kuliko CHADEMA.
 
Wakati tunaimba humu kuwa mbowe ni
Umesahau kusema alifurahia kifo Cha Jiwe!!
laana
muhuni mlitupinga kwa nguvu zote nilipo sema kifo cha ben saa 8 mbowe ni mtuhumiwa no moja watu mkabisha sana ...nilipo sema kuwa baada ya kifo cha jpm, mbowe hataki hata kusikia jina la ben saa8 tena ukilitaja katibu yake anaweza kata kukupiga makofi ...mkapinga mkasema mimi ni muongo.
Najuta kukupinga
Umesahau kusema alifurahia kifo Cha Jiwe!!
Laana inatafuna
 
Kwa vyovyote vile Mbowe alipaswa kujitokeza hadharani na kuongea neno ikiwa na pamoja na msimamo wake kwenye uchaguzi huu.
 
Ha
Kiongozi mstaafu unaona chama na viongozi wake wanashambuliwa kila kona halafu wewe unakaa kimya!. Hii ni roho mbaya na ukosefu wa uchungu kwa chama.
Huenda Mbowe anajipenda yeye zaidi kuliko CHADEMA.
Hapana. Dozi ya matusi mliyompa inamtosha, mwacheni aheal kwanza. Wakati mnahemukwa pamoja na wana diaspora kwa kila kebehi na matusi hamkujua kuwa mngemhitaji? Unataka aseme kitu halafu muanze kumshambulia tena? Hapana aisee. Kama atatafsirika kuwa ana chuki, acha iwe hivyo. Hamna shukrani ninyi.
 
Ha

Hapana. Dozi ya matusi mliyompa inamtosha, mwacheni aheal kwanza. Wakati mnahemukwa pamoja na wana diaspora kwa kila kebehi na matusi hamkujua kuwa mngemhitaji? Unataka aseme kitu halafu muanze kumshambulia tena? Hapana aisee. Kama atatafsirika kuwa ana chuki, acha iwe hivyo. Hamna shukrani ninyi.

Mwanasiasa gani anaogopa spana?.

Kama anaogopa spana namna hii alipogombea urais mwaka 2005 alifikiria ukiwa rais ni lelemama?
 
Kumbe mlikuwa mnatania, yeye kamaanisha sasa. Acheni kumlaumu. Mlimframe Lissu kama suluhisho la kila tatizo la Chadema. Haya yupo ofisini, msaidieni kama mlivyomsaidia wakati wa kampeni zenu chafu. By the way Maria Sarungi yuko wapi?
Mwanasiasa gani anaogopa spana?.

Kama anaogopa spana namna hii alipogombea urais mwaka 2005 alifikiria ukiwa rais ni lelemama?
 
Kumbe mlikuwa mnatania, yeye kamaanisha sasa. Acheni kumlaumu. Mlimframe Lissu kama suluhisho la kila tatizo la Chadema. Haya yupo ofisini, msaidieni kama mlivyomsaidia wakati wa kampeni zenu chafu. By the way Maria Sarungi yuko wapi?

Lissu yuko jela

Halafu Mbowe bado ni kiongozi wa chama kwa nafasi ya kamati kuu kama mjumbe wa kudumu, bado ana role ya kuplay kwa mujibu wa katiba ya chadema.

Analo jukumu la kukilinda na kukipigania chama
 
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.

Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.

Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.

Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote
wewe ni zaidi ya mwehu;

Kwani CHADEMA ni Mbowe? Wakati mnasema Mbowe mzee astaafu, unaelewa,maana ya kustaafu?

Mbowe jela ametoka kwa, juhudi zake sio nyinyi mashabiki wa mtandaoni? Mliwahi juandamana Mbowe atoke jela?

Mbowe alisema wazi akishindwa uchaguzi anaenda kwenye biashara zake.

Mjitumbukize kwenye natatizo na dola hakafu mje kumlilia Mbowe awasaidie kwani ndiye akiyewatuma?


Mwana kulitafuta mwana kulipata.


 
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.

Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.

Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.

Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Umkome, nyie juzi tu mlikuwa mnamdhalilisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom