Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,103
- 29,652
Mbowe yupo magotini mwa samia anaomba lissu auliwe kwa namna yoyote ile niaminini mimi ..ninacho sema ...kama lissu akifa basi ni ndani ya siku tu... mbowe atajitokeza na kuonekana nchi nzima.Mbowe anatakiwa aite waandishi wa habari akemee utekaji wa Chadema