Nakukemea Freeman Mbowe

Nakukemea Freeman Mbowe

Gentleman,
endapo itafanyika hivyo, itakua ni kuhujumu uongozi mpya wa Chadema Taifa uliopo.

Ikiwa chadema ina haja na hilo, basi imfuate Mbowe kwa heshima na kumuoamba awajibikie hilo, huo ndio ustaarabu šŸ’
Kukemea watu wasitekwe ni kuhujumu uongozi wa Chadema?
 
Lissu amemtaja aliyetaka kumuua zaidi ya mara 100, wewe bado tu unaleta chuki kwa FAM?Mzee wa watu kapumzika lakini bado mnamlilia. Mmebaki yatima eeh?
Kwa chuki hii anayoionyesha huenda hata Ally Kibao ameuawa na Mbowe
 
Wafuasi wa Lissu ni wapumbavu mno. Mbowe kashastaafu na alitangaza hadharani anarudi kwenye biashara zake ila nyumbu mnataka aendelee kuwa active kwenye siasa.
 
sasa si amestaafu, au? lissu alishamtembelea wakaongea kwa masaa matatu, mdude mawakili wanashughulikia, mwache mbowe apumzike asimamie biashara zake, hayo madai yako wapo akina heche watashughulika nayo
Mwehu sio mpaka avue nguo matendo na matamshi vinatosha kubainisha kuwa huyu mwehu
 
Wafuasi wa Lissu ni wapumbavu mno. Mbowe kashastaafu na alitangaza hadharani anarudi kwenye biashara zake ila nyumbu mnataka aendelee kuwa active kwenye siasa.
Mbowe amesitaafu lini ujumbe wa kamati kuu?
 
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.

Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.

Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.

Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Ulitaka afanye nini sasa, tundulisu aliamini atayaweza hayo mapito harafu mboe kwa sasa anafanya hizo harakati Kama Nani hasa katika chama, hiyo nguvu aliyonayo inaweza kuruhusu hayo unayoyasema
 
Huyu huyu Mbowe Mla rushwa, mlamba asali, aliyenunuliwa na Abdul. Huyu aligeuka kukiuwa Chama kwa mujibu wa Lissu. Huyu ndiye Leo mnamlilia?

Mlidhani chama kinaendeshwa kwa mapovu na kuwapaka watu matope?
 
Ulitaka afanye nini sasa, tundulisu aliamini atayaweza hayo mapito harafu mboe kwa sasa anafanya hizo harakati Kama Nani hasa katika chama, hiyo nguvu aliyonayo inaweza kuruhusu hayo unayoyasema
Kama mjumbe wa kamati kuu ya Chadema
 
Binadamu ni watu wa nongwa sana , mimi ninaona hivi anavyo fanya Mbowe ndivyo sahihi kabisa.Sababu mazingira ya mitifuano ya uchaguzi uliopita bado akiongea itaonekana anataka kuvuruga chama. Sometimes silent is the best answer, mpaka pale atakapo funuliwa aongee inapobidi.
 
Huyu huyu Mbowe Mla rushwa, mlamba asali, aliyenunuliwa na Abdul. Huyu aligeuka kukiuwa Chama kwa mujibu wa Lissu. Huyu ndiye Leo mnamlilia?

Mlidhani chama kinaendeshwa kwa mapovu na kuwapaka watu matope?
Kwa hiyo amesusa?
 
Mwacheni apumzike mlimtukana sana kwenye kampeni zenu

Mwacheni auguze.majeraha ya matusi mliyomtukana mkiongozwa na mtukanaji mkuu Tundu Lisu
Sawa. Bei ya kulaza mgonjwa mmoja pale muhimbili ni elfu 50 kwa siku. Ccm wanajua na raisi anajua. Wewe mwenyewe unajua. Badala ya kuhoji haya unafikiri chasema ikifa ndo bei ya kitanda muhimbili itashuka????
Jitafakar, adui wa watz siyo lisu ni ccm
 
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.

Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.

Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.

Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Tatizo ni ninyi chawa wa Lissu kumtukana kama vile hakuna kesho. Mwache Mbowe apumzike. Mlitaka akae pembeni , amefanya hivyo kwani tatizo nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom