Nakukemea Freeman Mbowe

Nakukemea Freeman Mbowe

wewe ni zaidi ya mwehu;

Kwani CHADEMA ni Mbowe? Wakati mnasema Mbowe mzee astaafu, unaelewa,maana ya kustaafu?

Mbowe jela ametoka kwa, juhudi zake sio nyinyi mashabiki wa mtandaoni? Mliwahi juandamana Mbowe atoke jela?

Mbowe alisema wazi akishindwa uchaguzi anaenda kwenye biashara zake.

Mjitumbukize kwenye natatizo na dola hakafu mje kumlilia Mbowe awasaidie kwani ndiye akiyewatuma?


Mwana kulitafuta mwana kulipata.
Sahihi kabisa
 
Nyerere alipostaafu uwenyekiti wa CCM aliendelea kukipigania chama chake, kwa mfano alimnadi sana Mkapa dhidi ya Mrema, alimsaidia Mwinyi kudeal na G55 OG. Na alifanya hayo bila kuwa na cheo chochote tena. Sasa Mbowe ambaye ni.mjumbe wa kudumu wa kamati kuu kwa nini hakipiganii chama, au anataka kife afurahi kuwa bila yeye chadema inakufa?. Huu ni ubinafsi wa hali ya juu sana.
Makani alipomkabidhi Mbowe chama ulimuona jukwaani tena? Mtei alipomkabidhi Makani chana ulimuona amepanda jukwaani?

Nyerere kumpigia kampeni Mkapa sio reference ya kufuatwa na Mbowe..

Mnataka Mbowe huyu huyu mnayedai kalambishwa asali ndiyo amnadi tena Lissu? Nafikiri kichwani hampo sawa
 
Lakn tulikubaliana kuwa mbowe ni msaliti..
Tulikubaliana kuwa mbowe alilamba asali..
Tulikubaliana kuwa mbowe alipokea hela za abdul kuivuruga cdm..
Tulikubaliana kuwa mbowe hana madhara hata akiondoka..
Tulikubaliana kuwa mbowe anashrikiana na serikali kuhujumu harakati..
Tulikubaliana kuwa mbowe hashushi fedha matawini..
Tulikubaliana kuwa tunataka harakati na si siasa..
Tulikubaliana kuwa mbowe ni dhaifu kaishiwa mbinu..
Tulikubaliana kuwa mbowe ni tapeli wa kisiasa..
Tulikubaliana kuwa mbowe na genge lake hafai kushriki chochote katika siasa za chadema..
Tulikubaliana kuwa mbowe ni museveni...
Tulikubaliana mambo mengi mengi tu..

SASA MNAMTAKA AJE KUFANYA NINI TENA? AU NDO MNATAKA KUSEMA ANAWASHWA WASHWA?
 
  • Thanks
Reactions: RMC
Makani alipomkabidhi Mbowe chama ulimuona jukwaani tena? Mtei alipomkabidhi Makani chana ulimuona amepanda jukwaani?

Nyerere kumpigia kampeni Mkapa sio reference ya kufuatwa na Mbowe..

Mnataka Mbowe huyu huyu mnayedai kalambishwa asali ndiyo amnadi tena Lissu? Nafikiri kichwani hampo sawa
Mkuu umeandika nilichokuwa nakiwaza...Hawa wanaotaman Mbowe aongee bila shaka Wana maneno na mawazo ambayo wanataka Mbowe ayatamke.Akiongea tofauti wataibuka tena kusema anyamaze muda wake wa uongozi umeisha.
 
  • Thanks
Reactions: RMC
Ninavyoijua mifuasi ya chadema chakavu ilivyo mizuzu na yenye mihemko, mbowe akitia neno tu basi atatupiwa maneno mengi zaidi. Hapo tayari inamshutumu kwa mambo kibao tu ikiwemo hata kuhusika kuwateka hao kina mdude. Bora mbowe aendelee kujikalia kimya.
Sikuwahi kudhani kuwa chama cha CHADEMA ni mkusanyiko wa wehu Tanzania mpaka wakati wa uchaguzi wao uliopita hadi sasa.

Hiki chama ndicho kinajidanganya kipewe dhamana ya kuongoza nchi!
 
Kwani msaidizi wake binafsi Ben Saanane alipopotea Mbowe alihangaika kumtafuta?

Kila mtu apambane na hali yake aisee! 😂
 
Maji yako shingoni.Lisu aliwadanganya kuwa makao makuu kuna pesa nyingi akishika atazifikisha matawini

Kuwa zinaliwa na team Mbowe.Toka ashike miezi sita imepita hajapeleka hata mia matawini iwe pesa ya ruzuku au tonetone

Lisu Aliingia kwenye uongozi kwa ghiliba na uwongo
Lissu kaharibu kabisa siasa za upinzani.
 
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.

Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.

Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.

Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Wewe umeongoza nini?
 
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.

Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.

Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.

Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Weken maneno mengine akiba mzee siasa isije ikakushanganza
 
ni wazi kusahau ni kitu mbaya sana.

Alie kua anapinga maridhiano alikua akitamani Freeman Aikael Mbowe aendelee kusota korokoroni wakati ule, si ndio huyu mwenyekiti wa Chadema sasa hivi ndugu zangu wadau?

Lakini hiyo haikutosha,
pamoja na fadhila zote za Mbowe kwa huyo muungwana mathalani za chakula alizomkirimia mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa, bado Mbowe aliishia kutwezwa utu wake na familia yake, kuitwa mlamba asali, kuitwa mla rushwa, lakini pia kuna wakati kiongozi huyu aliwahi kuropoka kwamba haendi tena kwenda kupiga msosi kwa mbowe kwani anaweza kumuwekea sumu kwenye chakula kiongozi huyu mpya wa Chadema ambae hakua na mahali pakula chakula alipotoka uhamishoni huko ughaibuni. Na mara zote Mbowe alikaa kimya tu.

Haya,
kulikoni tena leo mayowe na makelele dhidi ya Mbowe hali ya kua anaendelea na shughuli zake biashara zake kimya kimya? Na wengine si waendelee na mambo yao ya uongozi wa chama kwa uhuru wajemeni?

Si alidai mbowe kamtuma wenje apambane nae umakamu mwenyekiti wa Chadema Taifa?
Si amepata uenyekiti wa chadema Taifa? Si aendelee na kazi sasa bila kua na chuki binafsi dhidi ya wengine?

Si kila mtu afanye kazi yake bila kusumbua mwingine gentleman?🐒
Nampongeza sana Mbowe kukaa kimya,Ukimya ni silaha ya maana sana kiseikolojia.Kila siku wanamwandika hapa ila huko panabomoka penyewe bila kuongea.Shikamoo FM
 
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.

Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.

Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.

Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
UWT watakupinga
 
Nampongeza sana Mbowe kukaa kimya,Ukimya ni silaha ya maana sana kiseikolojia.Kila siku wanamwandika hapa ila huko panabomoka penyewe bila kuongea.Shikamoo FM
Unamdanganya sana, maana watu wanaamini sasa kuwa huyo ni ccm B
 
Nampongeza sana Mbowe kukaa kimya,Ukimya ni silaha ya maana sana kiseikolojia.Kila siku wanamwandika hapa ila huko panabomoka penyewe bila kuongea.Shikamoo FM
uko sahihi gentleman :KasugaYeah:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom