Unafikiri humu wote ni wajinga?Etwege ndiyo nani?
Unafikiri humu wote ni wajinga?Etwege ndiyo nani?
Akemee akiwa kama nani? Muacheni apumzike!Mbowe anatakiwa aite waandishi wa habari akemee utekaji wa Chadema
Kama mwanachadema na mjumbe wa kamati kuuAkemee akiwa kama nani? Muacheni apumzike!
Hata jaji Warioba amesitaafusasa si amestaafu, au? lissu alishamtembelea wakaongea kwa masaa matatu, mdude mawakili wanashughulikia, mwache mbowe apumzike asimamie biashara zake, hayo madai yako wapo akina heche watashughulika nayo
Tena kuna mtu aliweka uzi hapa kama chezea serikali usichezee dola haya sasa kuraneni space x mumtoewewe ni zaidi ya mwehu;
Kwani CHADEMA ni Mbowe? Wakati mnasema Mbowe mzee astaafu, unaelewa,maana ya kustaafu?
Mbowe jela ametoka kwa, juhudi zake sio nyinyi mashabiki wa mtandaoni? Mliwahi juandamana Mbowe atoke jela?
Mbowe alisema wazi akishindwa uchaguzi anaenda kwenye biashara zake.
Mjitumbukize kwenye natatizo na dola hakafu mje kumlilia Mbowe awasaidie kwani ndiye akiyewatuma?
Mwana kulitafuta mwana kulipata.
Msisuse jamaniTena kuna mtu aliweka uzi hapa kama chezea serikali usichezee dola haya sasa kuraneni space x mumtoe
YesAlitaka kumuua Sabaya yupi?
Pia mdude alimtetea sanaUmekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.
Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Acheni kuwasumbua wastaafu. Mlimwambia akapumzike mmejisahau sasaUmekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.
Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Anapumzika kwa kuunda G55?Acheni kuwasumbua wastaafu. Mlimwambia akapumzike mmejisahau sasa
Tupe ushahid mzee.Anapumzika kwa kuunda G55?
Ushahidi ni hao G55Tupe ushahid mzee.
Na Chadema ipumzike kufanya siasa?Mwacheni apumzike mlimtukana sana kwenye kampeni zenu
Mwacheni auguze.majeraha ya matusi mliyomtukana mkiongozwa na mtukanaji mkuu Tundu Lisu
Achana naye mkuuUmekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.
Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Huwezi kuachana na mjumbe wa kamati kuu ya chamaAchana naye mkuu
Why?🙄🙄🙄🙄Na Chadema ipumzike kufanya siasa?
Si mjumbe wa kamati kuu amepumzikaWhy?🙄🙄🙄🙄