Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
teh!teh!teh!Rejao noma!mi mwenyewe namkubali jinsi anavyowatoa watu mapovu!eti nasikia ni dereva STK ni kweli?ajitahidi apande cheo awe mbeba mifuko ya rambo wa baba mwanaasha atapanda pipa mpaka acheue nanyi mtakula per diem mpaka mpasuke!
Hahaha hahahha,
Kwa anavowachefua watasema mengi lol!
Hayo ni maneno tu ya watu hata kwenye keki yapo na nayaliwa tu,source; kongosho
Mme wangu siasa iko damuni tena ya chama tawala na anaipenda km wengine walivo na mapenzi kwa vyama vyao,
Ila hataegemei padiem wala mshahara kutoka kwa baba mwaasha,
Yule tayari ni papa tajiri siku mingi sana,anachofanya ni kuonesha mapenz kwa chama anachokipenda basiii!