Uje na unga kilo 30, mchele kilo 65, mbuzi watatu na kuku 7. Huku maisha magumu mjomba.
Pia uje na kiingilio cha kupandia daraja la Manzese.
Vile vile usisahau blanket mkuu
Salaaam wana JF!
Pamoja na kuwa nimesoma soma kuhusu Dar es Salaam. Sasa nimepata bahati nakuja huko ijumaa hii, naomba ushauri nizingatie kitu gani, ntafikia kwa ndugu yangu atanipokea stand.
Natokea Kalambanzite huku Rukwa, sijawahi kufika Dar es Salam. Je nije na nini na nini nisibebe?
Asante sana, nataizya sana mkwae (kifipa/mambwe)
Ogopa kunyonya.maziwa ya changudoa.sio maziwa yale wanaweka madawa ya kulevya ukilala shaa unaamka.na.yaai limekupasukia
Uje na unga kilo 30, mchele kilo 65, mbuzi watatu na kuku 7. Huku maisha magumu mjomba.
Pia uje na kiingilio cha kupandia daraja la Manzese.
Vile vile usisahau blanket mkuu
Kuwa makini kuna zimwi hilo linatisha kidogo lina matairi mawili bana weee sijui zinatokea wapi ila utazikuta hizo hapo miguuni mwako hayo mazimwi yanaendeshwa na wanywa viroba unaweza ukafika dar badala ya kufika nyumbani ukafikia muhimbili kukatwa miguu
chonde chonde huku mjini hakuna cha bure hata ukiona hela chini usiokote imewekwa hiyo
mkuu hebu nieleweshe chipsi zina uhusiano gani na MIMBA tafadhali..
uje na ugali wako kabsa wenzako walifia njiani kwa njaa baada ya kuambiwa vile vyakula vya njian sio vyakula halal