Nakuja Dar kwa mara ya kwanza

Nakuja Dar kwa mara ya kwanza

Wakuu nimeingia hapa hubungo! Mweee ndio kuko ivi? Hua huku hamlali? Kwetu saizi ni wachawi tu, huku mnatembea wengi kama mchana mweee.

Nikipumzika nitapitia majibu ya post yangu asubuhi

karibu mkuu... upande gari kuja manzese... ushukie tiptop utanikuta nachoma mishkaki jioni.... nitakupa miwili ya bure kwa ajili ya kukukaribisha
 
Back
Top Bottom