Nakuja Dar kwa mara ya kwanza

Nakuja Dar kwa mara ya kwanza

kabla hujaanza safari pata ka - English kozi. daleslama watu washasahau kiswahili.
 
aisee weka fedha zako na simu vizuri..usije ukalizwa kufikia chalinze tu na usinunue kitu kwa mtu binafsi pale stendi, itakula kwako, najua lazma utafika kariakoo, tena huko ndio mgeni anajulikana kabisaaa, yani tafkiri unatoa harufu ya kigeni..kuwa makini sana ila vngnevyo mbona poa tu, utaenjoy uende na coco beach cz watu wakifikaga tu mjini lazma wapelekwe kule tafiri national museum hahahahahhaaa
 
Usisahau ungo utakusaidia sana na foleni ya kila siku ya magari
 
Kuangalia maghirofa inabidi ulipie...
Andaa kiingilio cha kutosha...
 
Njoo tupige hela mwana, mimi ntatengeneza bango la Mganga Kutoka Sumbawanga, maana nyie ni dili hapa mjini.

Na tutawatangazia watu kwamba tunatibu kila ugonjwa.
 
Karibu mgeni.. Ukishuka tu pale Ubungo ulizia zilipo ofisi za JF watakuleta mpaka hapa.. Utakutana na wahuni wote wanaokutolea mijicho..
 
uwe unaulizauliza vituo usije ukashukia kibaha ukadhani ndio ubungo..
..ukifika Mbezi kaa chonjo na mzigo wako maana ndio watu wanaanza kushukashuka hivyo usilale.
 
We lufwanka yaani unaenda mjini unatangaza? Ngoja wakuibie kaputi we
 
Usisahau kondom maana wafipa mnapenda sana pombe, najua ndugu yako atakupeleka bar siku ya kwanza kukuuliza stori za Mpanda, huko utakuta mabinti wanaomeremeta lakini wana wadudu wanaonyavuanyavua kwenye damu. Na ukumbuke kuitumia hiyo kondom. Wabara wanapapatikiwa sana huku Dar, jihadhari hawa sio wanawake ni miwaya, kama hutapata ngoma lakini shilingi hutabaki nayo

Umejuajeee ni me???
 
Si umeshawahi kusikia escrow?ni pm nikuelekeze zinapopatikana hizo pesa,ila kuwa makini nijulishe unakuja lini nikusubiri hapa stendi,.
 
AO WANAKWAMBIA UENDE BAR UKIFIKA GUEST USISAHAU CNDM WAUWAJI

CONDM ZA SIKUHIZI Vaa KABLA UJAINGIA GETINI WENGI WANAOONGIA.NAZO AWATUMII MNAISHIA.KUWEKA KWENYE DASTIBINI

NAKUPENDA USIFE VAA KABSA UKILEWA YAKIKUZIDI NENDA KAMA ULIVYO..
 
Ogopa kunyonya.maziwa ya changudoa.sio maziwa yale wanaweka madawa ya kulevya ukilala shaa unaamka.na.yaai limekupasukia
 
UKIWA KITANDAN.OGOPA.MWANAMKE ANAEKUSOGEZEA KIKWAPA.KWENYE.PUA UTAISOMA NAMBA UTAHISI UNAKUMBATIWA UKAKUMBATIKA MWYA MADAWA YALE.YAPo.NDAN YA KIKWAPA UKINUSA HALOOOOOOOOOO KIDOLEE.JUUU WATU WANACHEKA
 
Back
Top Bottom