blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,449
- 12,602
HUMPHREY POLEPOLE SI KUBEZA
Na Thadei Ole Mushi.
Huenda Polepole yupo sahihi lakini Madhara ya anachokisema ni makubwa mno.
1. Yeye kama Kiongozi ana Platform kubwa zaidi kuliko Mimi na wewe ya kushauri Kwa kumfuata Mkuu wa Mkoa DSM wakajadiliana kuhusu wamachinga.
2. Kauli hizi zinaweza kusababisha Maandamano ya Vijana Kwa kuwa yametolewa na Kiongozi.
3. Sio mara ya kwanza Polepole anawaona wenzake kuwa kichwani hakuna kitu. Aliwahi kuanzisha kipindi Cha Papo Kwa Papo akawa anagombeza viongozi wenzake kwenye simu kuanzia Diwani Hadi Waziri. Polepole huwa anaamini yeye pekee ndiye mwenye akili ndio maana anawafundisha uongozi.
4. Kauli ya Kwamba anamtetea Rais sio kweli huwezi kumtetea halafu wakati huo huo uchochee wamachinga kiasi Hicho. Polepole kama Mbunge ana channel ya kumfikia Rais Kirahisi kuliko Mimi na wewe kusema hadharani kuwa Wamachinga wanaonewa halafu unajidai kumpenda anayeongoza Serikali ni unafiki.
5. Niliwahi kutoa Option kuwa Polepole ili atulie anahitaji mambo mawili aidha apewe Uwaziri, Unaibu Waziri au apelekwe kuwa Balozi nje ya nchi. Kwa huu Ubunge wake atawasumbua sana wenzake Serikalini na ndio anaoutumia kukagua wenzake 😂😂😂😂
6. Unaweza Kumdharau ila kauli zake Kwa watu wenye matatizo yao binafsi yanaweza kuwa na impact kubwa sana anachofanya hapa sio kutatua tatizo Bali ni kutengeneza tatizo. Yeye kama sehemu ya Uongozi anatakiwa atoe solutions sio kuchochea Tabaka la chini.
7. CCM na Serikali inagimbanishwa na Wamachinga, inagimbanishwa na vijana, inagimbanishwa na waliojiajiri Kwa kukosa ajira. Si kauli ya kusikiliza na kuiacha.
Narudia huenda Humphrey Polepole ana mawazo mazuri Sana ila njia anayotumia kufikisha mawazo yake sijaipenda.
Ole Mushi
0712702602.
MY TAKE..
CCM bado haiko pamoja na Mama. Hii movement ya Polepole haina afya kwa taifa hAta kidogo.
Na Thadei Ole Mushi.
Huenda Polepole yupo sahihi lakini Madhara ya anachokisema ni makubwa mno.
1. Yeye kama Kiongozi ana Platform kubwa zaidi kuliko Mimi na wewe ya kushauri Kwa kumfuata Mkuu wa Mkoa DSM wakajadiliana kuhusu wamachinga.
2. Kauli hizi zinaweza kusababisha Maandamano ya Vijana Kwa kuwa yametolewa na Kiongozi.
3. Sio mara ya kwanza Polepole anawaona wenzake kuwa kichwani hakuna kitu. Aliwahi kuanzisha kipindi Cha Papo Kwa Papo akawa anagombeza viongozi wenzake kwenye simu kuanzia Diwani Hadi Waziri. Polepole huwa anaamini yeye pekee ndiye mwenye akili ndio maana anawafundisha uongozi.
4. Kauli ya Kwamba anamtetea Rais sio kweli huwezi kumtetea halafu wakati huo huo uchochee wamachinga kiasi Hicho. Polepole kama Mbunge ana channel ya kumfikia Rais Kirahisi kuliko Mimi na wewe kusema hadharani kuwa Wamachinga wanaonewa halafu unajidai kumpenda anayeongoza Serikali ni unafiki.
5. Niliwahi kutoa Option kuwa Polepole ili atulie anahitaji mambo mawili aidha apewe Uwaziri, Unaibu Waziri au apelekwe kuwa Balozi nje ya nchi. Kwa huu Ubunge wake atawasumbua sana wenzake Serikalini na ndio anaoutumia kukagua wenzake 😂😂😂😂
6. Unaweza Kumdharau ila kauli zake Kwa watu wenye matatizo yao binafsi yanaweza kuwa na impact kubwa sana anachofanya hapa sio kutatua tatizo Bali ni kutengeneza tatizo. Yeye kama sehemu ya Uongozi anatakiwa atoe solutions sio kuchochea Tabaka la chini.
7. CCM na Serikali inagimbanishwa na Wamachinga, inagimbanishwa na vijana, inagimbanishwa na waliojiajiri Kwa kukosa ajira. Si kauli ya kusikiliza na kuiacha.
Narudia huenda Humphrey Polepole ana mawazo mazuri Sana ila njia anayotumia kufikisha mawazo yake sijaipenda.
Ole Mushi
0712702602.
MY TAKE..
CCM bado haiko pamoja na Mama. Hii movement ya Polepole haina afya kwa taifa hAta kidogo.