anakosea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cheology

    Eric Ten Hag anakosea aidha hajui anataka nini Hjulmand ni aina ya mchezaji mharibifu

    Kwa sasa pale united kuna mctonomy hyu dogo anafanya ya nick butt, kazi ya mchezaji anayetakiwa aharibu formation ya timu pinzani. Hjulmand ni aina ya mchezaji ambaye hutakiwi kumtegemea katika box to box. Anatakiwa acheze kama matic, butt, lkn huwez mtegemea katika box to box japo amazon...
  2. blogger

    Nakubaliana na mawazo ya Thadei Ole Mushi. Polepole anakosea sana

    HUMPHREY POLEPOLE SI KUBEZA Na Thadei Ole Mushi. Huenda Polepole yupo sahihi lakini Madhara ya anachokisema ni makubwa mno. 1. Yeye kama Kiongozi ana Platform kubwa zaidi kuliko Mimi na wewe ya kushauri Kwa kumfuata Mkuu wa Mkoa DSM wakajadiliana kuhusu wamachinga. 2. Kauli hizi zinaweza...
  3. SN.BARRY

    Rais sio Mungu naye huwa anakosea

    Ninampenda sana Rais wetu Mama Samia ila ninaomba kumsahihisha kuwa rais ni binadamu huwa anakosea. Tukianzia kwa Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Marehemu na yeye mama mwenyewe tukisema tuorodheshe mazuri na mabaya yao jamiiforums server haitatosha. Ushauri kwa mama: Achape kazi tunampenda...
  4. jamii01

    Ziara ya Rais Samia nchini Kenya, Mama anakosea

    Napenda kuandika kidogo tu kulingana na uwelewa wangu juu ya Ziara ya Mama nchi Kenya na mikataba mlio tiana sign. 1. Ujenzi wa bomba la gas kutoka Tanzania kwenda Mombasa kwa ajili ya matumizi ya viwanda nchini Kenya,hapa mama unefail pakubwa sana maana yake nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa...
Back
Top Bottom