Naku......................mano ah

Naku......................mano ah

Naku.............................. Manoah. lakini naogopa kukwambia coz cjui utachukuliaje
then namuogopa mama yako ticha mkali
pili kakulea kwa maadili yote cjui kama ntaweza fanikiwa,

Any Agent pls, deal anounced already


Ongea na kaka mtu kwanza bibie, mpe fursa athibitishe kama unafaa katika kila hali kuwa mke wa mdogo wake!
Haya mambo hata @ Baba V anayakubali katika kamati yake
 
usiogope wewe sema tu, ujue mama yangu ananipenda sana....kama anavyokupenda wewe

huyo witch uliyempata usimuache nyota inang'aa kwa siku unafunguliwa sred tatu nipeleke na mie best hadi leo sijapata partner wa white parii
 
Kweli my brother Ronn M atakuja kuongea na wewe ili tupate baraka zako pia
Ongea na kaka mtu kwanza bibie, mpe fursa athibitishe kama unafaa katika kila hali kuwa mke wa mdogo wake!
Haya mambo hata @ Baba V anayakubali katika kamati yake
 
Last edited by a moderator:
amu sio mganga, ni Mungu Mwenyezi ananipenda, anakupenda na anatupenda sote. White Party ni lini?
 
Last edited by a moderator:
Ongea na kaka mtu kwanza bibie, mpe fursa athibitishe kama unafaa katika kila hali kuwa mke wa mdogo wake!
Haya mambo hata @ Baba V anayakubali katika kamati yake


kaka, hodi, baraka zako pls uwe shem wa ukweli
 
Naomba unisamehe, pia uwe unaniaga mpenzi wako, dunia ya sasa ivi imeoza my love Suprise
 
Last edited by a moderator:
hii Post muda uliokuwa unaiandika bora ungekuwa na mumeo/mpenzi una mshika shika mashavu Mx
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom