Naku......................mano ah

Naku......................mano ah

Duh.... Teh teh teh.... Kumbe ile ilikuwa kama tangazo la siri kuwa unatafuta... Uhwiii

werevu tumenga'amua zamani, vingine ukiweka hadharani unaleta unhealthy competition bure
 
smelling somethin fishy bout uzi huu...ngoja niendelee na uchunguzi
 
Unajua, nini! Kabla mwenyekiti hajaludishwa ndani ya Server tuwakilishe maombi yetu mapema

yap baby, c alipita hapa mda fulani mwenyekiti, were r u, naona pingamizi zishaanza kabla hata nia haijatangazwa, muongozo pls
 
Wana angaika bure maskini. na mi wivu yao wanaomba wangekua sisi

umeona eenh, wengine wamesumbukaje kwenye hii safari ,lazima mimacho iwatoke, kweli alichounganisha Mungu wafitini washafeli
 
smelling somethin fishy bout uzi huu...ngoja niendelee na uchunguzi

wachunguza nini na majibu yashatolewa hapa, vipi mwekahazina ile kwaya imeanza fanya kazi, ije itumbuize
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom